Kuonyeshwa mwenzi wa maisha ndotoni

Kuonyeshwa mwenzi wa maisha ndotoni

Aya Tupe ushuhuda japo kidogo ilikuwaje mkafikia wapi na mpo wapi na huyo mke wako?
Siko kwenye ndoa bado....ila Hapo nyuma Kila mahusiano nliokua nayo nilikua naoneshwa ndotoni kuwa huyo mtu sio sahihi.... Kuna wale ambao niliwapenda na kuwaamini mno na walikua kama Malaika hao Mungu alikua ananionesha ndoto zinajirudia mpaka mara 7 nilioneshwa mpaka maisha nitakayoish endapo nikifunga ndoa Kuna mwingine nilioneshwa mpaka jina la mtu atakayeingia nae ndoan....now am single takriban miezi 7 nasubir sahihi Mungu alienichagulia
 
Ni kweli jaman wakat me Niko mdogo nilikuwa naomba niolewe na mwanaume mwema mwenye dini kila nikiswali " sasa kuna kipindi nikamuota mkaka mmoja mweusi half alikuw mkubwa sana kwangu nna simfaham pia"
nilkuw n miak9. Wakati huwo
Basi toka siku hiyo niliamin ndoto yangu n kweli yule nilie muona nd alie niowa yey34. Mimi20
Ni imani tuu.
Duh hongera sana, natamani na mwanangu abahatike kama wewe apate mume sahihi kwakweli
 
Ni kweli jaman wakat me Niko mdogo nilikuwa naomba niolewe na mwanaume mwema mwenye dini kila nikiswali " sasa kuna kipindi nikamuota mkaka mmoja mweusi half alikuw mkubwa sana kwangu nna simfaham pia"
nilkuw n miak9. Wakati huwo
Basi toka siku hiyo niliamin ndoto yangu n kweli yule nilie muona nd alie niowa yey34. Mimi20
Ni imani tuu.
Duh hongera sana, natamani na mwanangu abahatike kama wewe apate mume sahihi kwakweli
 
Siko kwenye ndoa bado....ila Hapo nyuma Kila mahusiano nliokua nayo nilikua naoneshwa ndotoni kuwa huyo mtu sio sahihi.... Kuna wale ambao niliwapenda na kuwaamini mno na walikua kama Malaika hao Mungu alikua ananionesha ndoto zinajirudia mpaka mara 7 nilioneshwa mpaka maisha nitakayoish endapo nikifunga ndoa Kuna mwingine nilioneshwa mpaka jina la mtu atakayeingia nae ndoan....now am single takriban miezi 7 nasubir sahihi Mungu alienichagulia
Duh aya sawa
 
Siko kwenye ndoa bado....ila Hapo nyuma Kila mahusiano nliokua nayo nilikua naoneshwa ndotoni kuwa huyo mtu sio sahihi.... Kuna wale ambao niliwapenda na kuwaamini mno na walikua kama Malaika hao Mungu alikua ananionesha ndoto zinajirudia mpaka mara 7 nilioneshwa mpaka maisha nitakayoish endapo nikifunga ndoa Kuna mwingine nilioneshwa mpaka jina la mtu atakayeingia nae ndoan....now am single takriban miezi 7 nasubir sahihi Mungu alienichagulia
Uko single, vp na mitikiso ume stop au ....
 
Back
Top Bottom