Kupaa kwa gharama za maisha Uingereza πŸ‡¬πŸ‡§ πŸ‡¬πŸ‡§ kwawasukuma wanawake wa UK πŸ‡¬πŸ‡§ πŸ‡¬πŸ‡§ kufanya biashara ya ukahaba ili kupata kula yao

Kupaa kwa gharama za maisha Uingereza πŸ‡¬πŸ‡§ πŸ‡¬πŸ‡§ kwawasukuma wanawake wa UK πŸ‡¬πŸ‡§ πŸ‡¬πŸ‡§ kufanya biashara ya ukahaba ili kupata kula yao

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Idadi ya wanawake wanaojiuza nchini Uingereza imeongezeka kwa zaidi ya asilimia 30% kutokana na athari za matokeo ya Urusi kupunguza/kukata gesi yake na mafuta yake kwenda nchi za Ulaya ikiwemo Uingereza. Wanawake hao wanasema wamelazimika kuingia kwenye kuuza nyeti zao kutokana na mfumuko wa bei kiasi kwamba wanashindwa kumudu gharama za chakula.

Mstahiki Meya wa London amekiri kuwa mfumko wa bei London ni mkubwa mno haujawahi kushuhudiwa kwa miaka mingi iliyopita, akaongeza kuwa familia nyingi za waingereza zinashindwa kumudu kupata chakula chao cha siku na zinaenda kuteseka zaidi ktk kipindi cha Winter (December hadi February) kama serikali isipotafuta njia mbadala za kuzinusuru familia hizo.

Shikamoo Putin...Kila kona ya Ulaya umepeleza vilio...watu wanapambana na hali zaoπŸ€£πŸ€£πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜πŸ˜πŸ˜†πŸ˜†
=====



SmartSelect_20220821-071756_Chrome.jpg
SmartSelect_20220821-071829_Chrome.jpg
SmartSelect_20220821-072107_Chrome.jpg
 
Waje bongo mapori kibao...
Wakulima wenyewe wa UK walikuwa wanahaha kutafuta manamba wa mashambani toka UK ijitenge na EU maana walikuwa wanategemea wafanyakazi kutoka nchi za Ulaya silizochoka.
Wa UK wenyewe kazi za mashambani hawaziwezi wala kuzitaka jambo ambalo lilileta shida ya labor na wakawa wanaomba serikali ilegeze masharti ya raia kuja kufanya kazi mashambani
 
Idadi ya wanawake wanaojiuza nchini Uingereza imeongezeka kwa zaidi ya asilimia 30% kutokana na athari za matokeo ya Urusi kupunguza/kukata gesi yake na mafuta yake kwenda nchi za Ulaya ikiwemo Uingereza. Wanawake hao wanasema wamelazimika kuingia kwenye kuuza nyeti zao kutokana na mfumuko wa bei kiasi kwamba wanashindwa kumudu gharama za chakula.

Mstahiki Meya wa London amekiri kuwa mfumko wa bei London ni mkubwa mno haujawahi kushuhudiwa kwa miaka mingi iliyopita, akaongeza kuwa familia nyingi za waingereza zinashindwa kumudu kupata chakula chao cha siku na zinaenda kuteseka zaidi ktk kipindi cha Winter (December hadi February) kama serikali isipotafuta njia mbadala za kuzinusuru familia hizo.

Shikamoo Putin...Kila kona ya Ulaya umepeleza vilio...watu wanapambana na hali zaoπŸ€£πŸ€£πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜πŸ˜πŸ˜†πŸ˜†
=====



View attachment 2330012View attachment 2330013View attachment 2330014

Wale wazee wa bora kua mbwa ulaya kuliko kuishi uswahilini wako wapiiiii πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Walivyo akili finyu njia pekee ya kujikwamua na njaa wameona ni kuuza papuchiii.

Viva 2022, huu mwaka unaelekea ukingoni ila utakumbukwa kwa mengi mno.
 
Back
Top Bottom