Kupaa kwa gharama za maisha Uingereza 🇬🇧 🇬🇧 kwawasukuma wanawake wa UK 🇬🇧 🇬🇧 kufanya biashara ya ukahaba ili kupata kula yao

Kupaa kwa gharama za maisha Uingereza 🇬🇧 🇬🇧 kwawasukuma wanawake wa UK 🇬🇧 🇬🇧 kufanya biashara ya ukahaba ili kupata kula yao

Si tuliambiwa Urusi iko kwenye Hali mbaya?
images - 2022-08-21T132907.866.jpeg
 
Sasa najiuliza hizo papuchi wanawauza akina nani wasio athirika na hivyo vita?
Dushe litasimama ikiwa mtu ana stress?
Afadhali waseme tuwatumie tiketi za ndege waje huku Tz tuwanyandue maana wengi wetu tunalima mahindi na mpunga uwezo wa kuwalisha na nguvu za kunyandua tunazo na kutosha.
 
Idadi ya wanawake wanaojiuza nchini Uingereza imeongezeka kwa zaidi ya asilimia 30% kutokana na athari za matokeo ya Urusi kupunguza/kukata gesi yake na mafuta yake kwenda nchi za Ulaya ikiwemo Uingereza. Wanawake hao wanasema wamelazimika kuingia kwenye kuuza nyeti zao kutokana na mfumuko wa bei kiasi kwamba wanashindwa kumudu gharama za chakula.

Mstahiki Meya wa London amekiri kuwa mfumko wa bei London ni mkubwa mno haujawahi kushuhudiwa kwa miaka mingi iliyopita, akaongeza kuwa familia nyingi za waingereza zinashindwa kumudu kupata chakula chao cha siku na zinaenda kuteseka zaidi ktk kipindi cha Winter (December hadi February) kama serikali isipotafuta njia mbadala za kuzinusuru familia hizo.

Shikamoo Putin...Kila kona ya Ulaya umepeleza vilio...watu wanapambana na hali zao[emoji1787][emoji1787][emoji56][emoji56][emoji56][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38]
=====



View attachment 2330012View attachment 2330013View attachment 2330014
We na wapumbav wenzako ni mafal@ ,UK wakisturve Hilo lishithole country lenu mtakufa njaa kabisa kama rats ,sasa hivi Tu mnalia kama mbweha Kwa kupandishiwa hivyo vimia , na linchi lenu lililofilisika Hilo mpaka mnakwapuliwa pesa toka benki , pumbav ,nchi yenye social safety nets kwa raia wake kama UK raia wawe desperate hivyo ?.Usivyo na akili makahaba wanaexist kila Kona ya dunia na utakuta wengi ni illegal migrants waliozamia hapo UK wakitokea shithole countries za KiAfrica na wanaishi bila papers hivyo hata hizi Government subsidies programs hawawi included .

Subiri miezi 5 mbeleni urudi hapa kupost ujinga wako tena , mark this comment kama Una akili nzuri .Subiri financial mayhem inayoenda kutokea kwenye nchi zenu za kipumbav hizi za Subsahara .

Kibano kimeanza kuwaingia wenzenu Sierra leon na Ghana huko kila siku wanaandamana kutokana na msoto WA inflation na life hardship .
Mpuuz mmoja wewe.
 
Kama nawaona wadangaji wa kibongo wanavyojisemea"kama mzungu anadanga apate kula sisi ni kina nani tusidange"
 
Nilitaka niku-tagg aisee [emoji1][emoji1][emoji1]

[emoji23][emoji23][emoji23]
Kodi juu, Gesi usiseme na Umeme balaa
Kila kitu kumepanda mwendo wa overtime na extra job mpaka kieleweke huku biashara ndogo ndogo

Yaani uzuri na unafuu ajira ziko kibao
Kila siku ziko zaidi ya 200,000
Hao wameamua kuwa machangu tu kwa bei poa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kodi juu, Gesi usiseme na Umeme balaa
Kila kitu kumepanda mwendo wa overtime na extra job mpaka kieleweke huku biashara ndogo ndogo

Yaani uzuri na unafuu ajira ziko kibao
Kila siku ziko zaidi ya 200,000
Hao wameamua kuwa machangu tu kwa bei poa
Hahah poleni mzee,ngoja tuone kwny winter hapo mambo yataendaje mkuu.
 
Hali ni mbaya sana madereva TREN wamegoma, wafanyakazi wa bandari kitengo Cha kontena wamegoma na mgomo inaelekea utasambaa zaidi sababu malipo madogo kulinganisha na kupanda Kwa Bei ya nishati na hali ya maisha .
Ahsante urusi.
 
We na wapumbav wenzako ni mafal@ ,UK wakisturve Hilo lishithole country lenu mtakufa njaa kabisa kama rats ,sasa hivi Tu mnalia kama mbweha Kwa kupandishiwa hivyo vimia , na linchi lenu lililofilisika Hilo mpaka mnakwapuliwa pesa toka benki , pumbav ,nchi yenye social safety nets kwa raia wake kama UK raia wawe desperate hivyo ?.Usivyo na akili makahaba wanaexist kila Kona ya dunia na utakuta wengi ni illegal migrants waliozamia hapo UK wakitokea shithole countries za KiAfrica na wanaishi bila papers hivyo hata hizi Government subsidies programs hawawi included .

Subiri miezi 5 mbeleni urudi hapa kupost ujinga wako tena , mark this comment kama Una akili nzuri .Subiri financial mayhem inayoenda kutokea kwenye nchi zenu za kipumbav hizi za Subsahara .

Kibano kimeanza kuwaingia wenzenu Sierra leon na Ghana huko kila siku wanaandamana kutokana na msoto WA inflation na life hardship .
Mpuuz mmoja wewe.
Nimejaribu kunyamaza kama wengine ila nimeshindwa, mkuu wewe ni fala wa Karne sikufichi, mkataa kwao siku zote ni mtumwa, wazungu sijui wana wapaga nini kwa kweli, so sad.
 
Saivi ukiwa na elfu tatu unaondoka na supa wumani unaenda kumfanyisha kazi za kibeto mpaka asubuhi
 
Effects za Vita vya Putin zipo globally. Hata hapa bongo tuna share kama sehemu nyengine za dunia. Lawama za tatizo hili binafsi nazitupa kwa Putin et-al..................Kremlin siyo smart hata kidogo!. Ukraine imemshindaje ku control bila vita?. Russia should be smart bwana kiasi cha kuweza kumdhibiti jirani yake pasipo kurusha hata risasi moja.
 
We na wapumbav wenzako ni mafal@ ,UK wakisturve Hilo lishithole country lenu mtakufa njaa kabisa kama rats ,sasa hivi Tu mnalia kama mbweha Kwa kupandishiwa hivyo vimia , na linchi lenu lililofilisika Hilo mpaka mnakwapuliwa pesa toka benki , pumbav ,nchi yenye social safety nets kwa raia wake kama UK raia wawe desperate hivyo ?.Usivyo na akili makahaba wanaexist kila Kona ya dunia na utakuta wengi ni illegal migrants waliozamia hapo UK wakitokea shithole countries za KiAfrica na wanaishi bila papers hivyo hata hizi Government subsidies programs hawawi included .

Subiri miezi 5 mbeleni urudi hapa kupost ujinga wako tena , mark this comment kama Una akili nzuri .Subiri financial mayhem inayoenda kutokea kwenye nchi zenu za kipumbav hizi za Subsahara .

Kibano kimeanza kuwaingia wenzenu Sierra leon na Ghana huko kila siku wanaandamana kutokana na msoto WA inflation na life hardship .
Mpuuz mmoja wewe.
Usituletee makasiriko yako
 
Duuuuh!, ndugu yangu unaipenda Urusi kushinda kitu chochote, sijui imekufanya nini!
 
Back
Top Bottom