Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda stress.Wadau nini chaweza kuwa chanzo halisi cha kupaa kwa usingizi nyakati za usiku hususani kuanzia mida ya saa saba na kushindwa kabisa kupata usingizi tena.😴😴😴😴
asante mkuu wapo wengi kuwaza kupindukia kukosa ufahamu wa kua shida sio zako pekee hapa duniani kukosa kumtizama alie chini yakoInakuwa ni zamu yako;
Kusali, kulinda usalama wa mnapoishi, kupanga mipango yako ambayo unakosa muda wa kuitafakari.
Kusoma kama ni mwanafunzi au unajisomea vitabu tuu n.k.
Ukifata mfumo wa kama sina njaa sili hata kama muda wa kula umefika, kama sina usingizi silali hata kama muda wa kulala umefika n.k. itakusaidia sana muda huo kufanya mambo mwngine endelevu.
Nitacoment ..... .ngoja nimalize kucheka kwanxaInakuwa ni zamu yako;
Kusali, kulinda usalama wa mnapoishi, kupanga mipango yako ambayo unakosa muda wa kuitafakari.
Kusoma kama ni mwanafunzi au unajisomea vitabu tuu n.k.
Ukifata mfumo wa kama sina njaa sili hata kama muda wa kula umefika, kama sina usingizi silali hata kama muda wa kulala umefika n.k. itakusaidia sana muda huo kufanya mambo mwngine endelevu.
Afadhali umwambie! Aje huko kwenye nchi ya Ahadi..Njoo usiku wa manane tukeshe. JamiiForums Usiku wa manane - JamiiForums
Ila kama una madeni hakikisha umeyalipa ili ulale bila msongo wa mawazo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku hakuna kulala ni 24/7 watu tunalindaAfadhali umwambie! Aje huko kwenye nchi ya Ahadi..
Upungufu wa madini pesa mfukoni ni ugonjwa hatari kwa usingizi wako.Wadau nini chaweza kuwa chanzo halisi cha kupaa kwa usingizi nyakati za usiku hususani kuanzia mida ya saa saba na kushindwa kabisa kupata usingizi tena.😴😴😴😴
Hiyo kitu imenichekwsha bana ..nimekua wa kwanza kulike na kucomment . Too funny [emoji3][emoji3][emoji16]Insomnia Ina raha yake Bwana.
Ingia jukwaa la mapishi, tafuta uzi HOW MEN COOK UGALI
Kuna mtu alinambia kitu libido ndo chanzo eti.Wadau nini chaweza kuwa chanzo halisi cha kupaa kwa usingizi nyakati za usiku hususani kuanzia mida ya saa saba na kushindwa kabisa kupata usingizi tena.[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]
InawezekanaWadau nini chaweza kuwa chanzo halisi cha kupaa kwa usingizi nyakati za usiku hususani kuanzia mida ya saa saba na kushindwa kabisa kupata usingizi tena.😴😴😴😴
Usile chakula kizitoWadau nini chaweza kuwa chanzo halisi cha kupaa kwa usingizi nyakati za usiku hususani kuanzia mida ya saa saba na kushindwa kabisa kupata usingizi tena.[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]
Dah....neema ya asubuhi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Upungufu wa madini pesa mfukoni ni ugonjwa hatari kwa usingizi wako.
Mimi huamka saa kumi alfajiri kila siku tangu nikiwa mdogo
Wadau nini chaweza kuwa chanzo halisi cha kupaa kwa usingizi nyakati za usiku hususani kuanzia mida ya saa saba na kushindwa kabisa kupata usingizi tena.😴😴😴😴
Usile chakula kizito
Usile ukashiba sana
Usiwahi sana kulala
Jioni fanya mazoezi hata mepesi tuu
Oga kabla ya kulala
Kwenye maji ya kuoga weka chumvi kidogo ya mawe na ukimaliza paka olive oil
Sali au swali kabla ya kupanda kitandani
Jr[emoji769]
DuuLabda hupati bia za kutosha kabla ya kwenda kulala.
🤣🤣😂😂Labda hupati bia za kutosha kabla ya kwenda kulala.