Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au vipi mzee; inategemea bajeti yake ya bia ikoje. Wengine hatuwezi kuingilia kwenye jambo kama hiloDuu
Jr[emoji769]
HahahaaAu vipi mzee; inategemea bajeti yake ya bia ikoje. Wengine hatuwezi kuingilia kwenye jambo kama hilo
Napenda sana kulipa madeni yangu, tatizo ni kwamba nitapata pesa wapi?Njoo usiku wa manane tukeshe. JamiiForums Usiku wa manane - JamiiForums
Ila kama una madeni hakikisha umeyalipa ili ulale bila msongo wa mawazo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kusali piaInakuwa ni zamu yako;
Kusali, kulinda usalama wa mnapoishi, kupanga mipango yako ambayo unakosa muda wa kuitafakari.
Kusoma kama ni mwanafunzi au unajisomea vitabu tuu n.k.
Ukifata mfumo wa kama sina njaa sili hata kama muda wa kula umefika, kama sina usingizi silali hata kama muda wa kulala umefika n.k. itakusaidia sana muda huo kufanya mambo mwngine endelevu.