Kupaka moisturiser before going to bed

Status
Not open for further replies.
Watakusumbua hawa..wana waA sanaa

Mabishano meeng..vingereza viing

Mi nataka demu ambae akil yake inajua kujipamba tu.na kunipikia..najua ntamzalisha mitoto mi4 hapo kwisha habar yake. Akili aniachie mim
Siwezi kuliacha hili toto lenyewe linanikubali, akiongea kiingereza mie napiga kiinglish..

Kasalim amri.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Madem smart wana stress sana.
Huwa wanajifanya wao kama wanaume..yaan anaish kama mwanaume kwenye mahusiano..atataka msaidiane kuosha vyombo kupika.etc..utamwambia nipasie nguo atakwambia bebi nawee leo si upasi...mama.e...

Kumsaidia ni sawa ila madema smart wajuaj snaa...kuna m1 niliwai ishi nae. Yeye tukitoka job..hapik vtu vya kueleweka..unakuta anakaanga mayai hapo vi sausage viwil na mi tambi/spaghet

Wakat muda huo mi mdomo wangu unawaza nipate ugal flan mlain wamoto amazing na harage hiv na mboga mboga na kipande cha kuku flan na kachumbar..yeye analeta ujinga wa vyakula vya ajabu...ukimwambia.ooh nmechoka bwana..reasoning nyiiing mara ooh situmetoka kazin..bla bla bla
 
Eti niache[emoji1787] Ngozi inahitaji discipline
 
usijali hujamnanga vibaya
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…