Safi..mwanamke usafi bwana.mwanamke ni pambo..huwa napishana sana na shemej yenu huwa simuelew..yeye hata akitoka kuoga anapaka mafuta sasa namuuliza ndugu yangu unajiremba hata ukilala
Jibu lake analotoaga ni moja
(niache)
Huku kaubinua mdomo wake...kumbe ndo anapaka hayo madude...hiv unajiskiaje kupaka madude usiku..kusingekua na ubarid artificial sjui kama mtu unaweza kulala umejipaka vtu..sijui kwa wanawake
Ila hayana haruf yoyote hayo madude anapakaga..had uson..kuna siku nkamwambia ndugu yangu au unajikoboa/kujichubua....akasema (niache)
Bas nimeamua kumuacha..sasa leo ndo nmejua kumbe anapaka hayo makituu
Mna kaz nyie watu.....nachekaga tu anavolivua wigi lake nakubak na nywele fupi ajabu...sorry babe nmekunanga huku vbaya mno