Kupambana na Kiba "The King" ni ngumu na gharama sana

Legacy inawekwa kwa kuvunja records tu?...hahahaaa hapo umekosea kidogi mkuu nachojua legacy inawekwa kwa kumbukizi ya yale yoooote ulofanya...mfano umeona umemtaja MB DOG thats legacy brah.
 
Na bado mtateseka sana, mpaka mtakapoacha kumfananisha Mond na mambo ya kijinga
Yeye mwwnyewe anamuwaza KING mara amtaje kwenye nyimbo mara afanye nn we hujiulizi why not jux or ben pol?..
 
Kwani Z Anton alianza kuimba lini? Matonya jee? PNC? Wapo wapi sasa hivi?

Sasa hivi hauwezi kumzungumzia kiba bila kuihysisha WCB kwa sababu ndio wanao mbust. Ndio maana hata Uzi wako umeshindwa kumwongelea yeye kama yeye bila WCB
Wapi uliona hata nyny mnazungumzia domo bila KIBA?...coz mnajua nan anawanyima usingizi akifanya A mtasema kiba hawez au kiba yake ipo wap and thats since day 1...KING hawezekaniki bra
 
Legacy inawekwa kwa kuvunja records tu?...hahahaaa hapo umekosea kidogi mkuu nachojua legacy inawekwa kwa kumbukizi ya yale yoooote ulofanya...mfano umeona umemtaja MB DOG thats legacy brah.
Nimesema hajawahi vunja records Wala kuacha legacy yoyote katika muziki wake hivyo, anaitwa KING kwa ajili ya nini ??.....

Unapomuita mtu Kama Jaydee Ni all time queen wa bongo flava bila Shaka utakuwa na mengi ya kuongelea, ukimuita Vanessa Ni malkia wa muziki wa Afrika mashariki kwa Sasa utakuwa na mengi ya kutetea pia.. yaani hata ukisema Saut Sol Ni group Bora la muziki east Africa pia

Ukisema Michael Jackson Ni king of pop bhasi utamwagika Sana ila je, Kiba Ni King kwa sababu zipi ???....

Ukijiuliza haya na kupata majibu yake sahihi utakuwa ushafunguka kiakili mkuu
 
Naoma unazunguka tu mkuu..samahani lakini
 
Nadhani hii itakuwa sarcasm eeh?![emoji23][emoji23][emoji2959]
 
Diamond anashindana na kivuli chake hakuna wa kumfikia kwa sasa labda huko mbeleni
 
Wewe utakuwa ndio kiba,kuandika huu uozo inahitaji ujitoe akili kweli kweli
 
look what drug just drugs in
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…