playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Naona the way WCB na "mwenyekiti wao" Diamond Plutnumz wanavyopata tabu na huyu mtu na wameona waamue mbinu mpya tu ambayo ni kutoa ngoma zaidi ya 3 wakati Kiba akiwa katoa ngoma hii tafsiri yake ni kwamba ngoma 1 ya kiba ni sawa na ngoma 3 za Diamond jumlisha na watoto wake.
Na ndo maana utaona bado mtaani kuna upinzani wa Diamond vs Kiba au WCB vs KINGS though kuna watu kila kukicha wanaachia nyimbo.
Now asq ur self if diamond atakuwa anatoa ngoma moja kwa mwaka kama kiba au Kiba awe anaachia ngoma zaid ya 3 in short period of time unadhan hali ya DIAMOND au WCB itakuwaje?.
Na ndo maana utaona bado mtaani kuna upinzani wa Diamond vs Kiba au WCB vs KINGS though kuna watu kila kukicha wanaachia nyimbo.
Now asq ur self if diamond atakuwa anatoa ngoma moja kwa mwaka kama kiba au Kiba awe anaachia ngoma zaid ya 3 in short period of time unadhan hali ya DIAMOND au WCB itakuwaje?.