Zanzibar kitunguu kg 1 ni tsh 6000 Nyanya nazo bei juu kama ujuavyo ndugu zetu hawa hata kulima ni mtihan.Bei ya nyanya iko juu. Mtaani kwetu wameacha kabisa kuuza.
Wakina mama wapika mihogo nimeona sehemu wanatumia matango kama nyanya Ktk kachumbari.
Leo nimeshangaa pia eti bamia moja inauzwa 100 mtaani.
Vitunguu na mbogamboga poa ziko juu.
Sababu
Nimefuatilia sababu wanasema mvua zilizozidi ndio chanzo.
Utatuzi wa kudumu na ushauri
Ule utamaduni wa kupanda maua majumbani ubadilishwe Kwa kupanda mbogamboga.
Mfano ukipanda kaeneo kadogo matembere yatastawi hata ukimwagilia maji ya sabuni.
Panda mbogamboga, nyanya, Vitunguu, karoti Ktk makopo.
Hii itasaidia kupunguza gharama ndogondogo zinazoepukika.
Mkeo, housegirl, ndugu unaoishi nao, watoto wako au wewe mwenyewe badala ya kufanya jogging gym, au barabarani, au kuangalia movies kuhudumia bustani ya nyumbani hata nusu saa ni zoezi tosha Kwa wenye Muda.
Kifaa kinapatikana wapi hicho? na kwa chini ni jiko au napo ni kama juu?View attachment 1348747
Hicho ni kikaushio cha kutumia mwanga wa jua. Nyanya inakatwa slices na kupangwa kwenye tray halafu inawekwa kwenye kikaushio kama hicho. Nanunua kipindi creti ni elfu 5, naanika kama creti 3 napata ndoo nzima ya nyanya kavu. Mwaka mzima hakuna kununua nyanya.
Njoo ruvu nikuuzie shambaNataka niingie rasmi kwenye Kilimo cha mboga mboga , kwa hapa dar nipo ubungo
Sehemu gan nzuri inafaa kwa kilimo
Huwezi amini baada ya huu uzi naenda kutengeneza matuta ,2 ya mboga mboga.
Hadi jioni yatakua tayari
Mimi ninamatuta matatu ya viazi lisheHuwezi amini baada ya huu uzi naenda kutengeneza matuta ,2 ya mboga mboga.
Hadi jioni yatakua tayari
Huwezi amini baada ya huu uzi naenda kutengeneza matuta ,2 ya mboga mboga.
Hadi jioni yatakua tayari
Mimi ninamatuta matatu ya viazi lishe
Bustani ya matembere na Bamia
Kuna majani ya kunde hadi nyumba nzima yamewakifu nawaambiaga waniandalie supu ya majani ya kunde niibugie kila siku.
Vyote vimeanza kuphase out, njiandaa kuwa na more advanced yenye hadi herbal plants.
Sido zinapatikana
Wanaishi ilala na kariakoo nyanya watapanda wapiMkeo, housegirl, ndugu unaoishi nao, watoto wako au wewe mwenyewe badala ya kufanya jogging gym, au barabarani, au kuangalia movies kuhudumia bustani ya nyumbani hata nusu saa ni zoezi tosha Kwa wenye Muda.
Wapi nimesema hivyo?Utapanda na kuvuna overnight..?
Rogie.... let's go....
HahahaAahahahahahahhaaaa looh ngoja nikunong'oneze fursa ukusanye njuruku....
Hapo kwenye supu ya majani ya kunde sababu wewe unainywa kila siku, Anza kuitangaza kuwa inaongeza nguvu za kiume na wewe ni shahidi, Anza kuuza mafungu ya majani ya kunde fungu 500 baadhi ya washkaji unaofanyanao kazi unawaandalia na kuwauzia supu iliyopo tayari, paki kwenye vikopo wanapasha wanakunywa.
Kumbuka hata wanaume wenye ndoa japo wake zao wanaweza andaa hiyo supu nyumbani hawatapenda mkewe au mpenziwe ajue kuwa anakula vyakula vinavyomfanya mtarimbo ukae wima kipindi chote cha mtanange. Hivyo watataka uwauzie wanywe warudi nyumbani wakafanye yao....
Kazi kwako ongeza matuta ya majani ya kunde, Ila kiukweli umetisha, supu ya majani ya kunde laaah!!!!!!, umewaza nini aahahahahahahahahahahaaaaaa.
Ubunifu murua kbsKwakweli bei ya nyanya na vitunguu inatisha, uzuri carrots bei yake ni bwelele, pia waweza nunua carrots kama mbadala wa nyanya, unatia nyanya zako 2 unakuna carrot yako moja unapata mchuzi murua kabisa.
Waende boma zinapofikia. Watapata unafuu.Wanaishi ilala na kariakoo nyanya watapanda wapi