Kupanda ghafla kwa bei ya nyanya na mbogamboga iwe funzo kwetu

 
Get readyyyyy


Sent from my iPhone using Tapatalk

Yeeey....

We go for the weekend...

We go for the weekend...

We = Kasie and Rogie.... Wuuuhuuuuuu

Am reeady you know am ready....
To go there.... to go there...
Forever...heey Mr. Man....

Come and pick me at 5 O'Clock..

K Matata.
 
Mkuu nisaidie Naweza kupata wapi Hicho kifaa
Ikiwezekana Naomba mawasiliano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi amini baada ya huu uzi naenda kutengeneza matuta ,2 ya mboga mboga.
Hadi jioni yatakua tayari

Wapi nimesema hivyo?
Nilimaanisha kuandaa matuta ndo itakua tayari

Kama lengo ni kukimbizana na soko, hadi uje kuvuna bei itakuwa hii..?
 
Kifaa kinapatikana wapi hicho? na kwa chini ni jiko au napo ni kama juu?
Viko vya aina nyingi na Mimi siwezi kufika sehemu zote. Siwezi kufanya urasimu nakupa design ya kawaida kwa matumizi ya nyumbani. Tafuta plastic sheet Kama ya greenhouse, Jenga mstatiri kama hapo kwenye picha, tengeneza tray zenye plastic net kama za screen house halafu funika huo mstatiri. Chini kabisa kuwekwe plastic sheet nyeusi. Mstatiri uliofunikwa uwekewe madirisha madogo yaliyozibwa na screen net kuzuia wadudu na kupitisha mvuke.
 
Hii nimeipenda,nahitaji elimu zaidi.
 
Kwa kuongezea pia unaweza kukausha mbogamboga kipindi cha mavuno na kuweka kwenye container ukatumia kwa mwaka. Waweza kukausha nyanya, vitunguu, tangawizi, tembele, majani ya kunde, n.k
Mkuu umenikumbusha huo mtambo wa kukaishia ninao na unatumia mkaa kidogo sana, tatizo kile kipima joto cha mercury kimevunjika sababu inabidi kikae ndani.
Ningepata kile haya mabadiliko ya bei yasingeniathiri mfukoni. Kariakoo wanauza digital
 
Mkuu umenikumbusha huo mtambo wa kukaishia ninao na unatumia mkaa kidogo sana, tatizo kile kipima joto cha mercury kimevunjika sababu inabidi kikae ndani.
Ningepata kile haya mabadiliko ya bei yasingeniathiri mfukoni. Kariakoo wanauza digital
Vya digital viko mtaa gani na ni bei gani ndugu.
 
Vya digital viko mtaa gani na ni bei gani ndugu.
Vipo vingi yale maduka ukifika pale round about shule ya uhuru uwe unaenda mnazi mmoja hamia upande wa kulia tembea upande huo kuna yale maduka unaingia ndani kama mall ndogo hivi. Ni maduka yanauza vifaa vya hospitali ukienda mall moja ukiulizia tu vifaa vya hospital utayapata yote. Yangu mimi walisema ni 15,000/= hawakuwa nayo. Za digital bei itakuwa chini sababu ziko aina nyingi.
 
Daah sawa mkuu,na taste yake itaendelea kua vile vile chief?

Maana mimi ndizi mbivu zikikaa kwny friji siku 3 tu,taste yake naona imepotea tayari.

dodge


Huko unaenda mbali..nyanya ilokaushwa kwa jua mie ilinishinda taste yake!mbaya mno mdomoni..sipatii picha hayo maaple!
 
Ila wale wanaoishi magorofani sijui itakuwaje kwa hii,au itabidi wapande mbogamboga kule summit au kwenye vibaraza vyao.....
 
Kwa kuongezea pia unaweza kukausha mbogamboga kipindi cha mavuno na kuweka kwenye container ukatumia kwa mwaka. Waweza kukausha nyanya, vitunguu, tangawizi, tembele, majani ya kunde, n.k

Hii mimi naiona kama fursa kipindi nyanya huwa nyingi mpaka zinaoza ni muhimu ziwe zinakaushwa kwa sasa nyanya moja Kitaani ni 400-500 very expensive aisee ni changamoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…