Isaack Newton
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 594
- 291
Napenda kukujulisha kuwa NECTA haijapandisha alama za ufaulu kwa O-level. Usidanganyike!
Endapo kungekuwepo mabadiliko Baraza lingeujulisha umma wa Watanzania!
NECTA hawafanyi kazi kwa kubahatisha.
Napenda kukujulisha kuwa NECTA haijapandisha alama za ufaulu kwa O-level. Usidanganyike!
Endapo kungekuwepo mabadiliko Baraza lingeujulisha umma wa Watanzania!
NECTA hawafanyi kazi kwa kubahatisha.