Isaack Newton
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 594
- 291
naomba majibu yenu wadau! hivi ni kweli passmark za kidato cha nne zimepandishwa? na kama kweli zimepandishwa,ni kwa hawa S.C na sio PC maana passmark za PC zilikuwa juu tangu mda.hebu nipeni uhakika.