ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Timu ya KenGold kutoka Mbeya imekuwa timu ya kwanza kupanda Ligi kuu ya NBC premiership.
KenGold yenye Makao yake Chunya Mbeya imefikisha pointi ambazo haziwezi kupigwa na timu shindani hivyo kutawazwa kuwa timu ya kwanza kutinga Ligi kuu huku mechi za mwisho zikisubiriwa kuamua watakoungana na KenGold na kuchukua ubingwa.
Chini yake Kuna timu nyingine kutoka Mbeya ya Mbeya kwanza ambayo inatumia uwanja wa Nangwanda Sijaona Mtwara ambayo nayo inaweza kupanda Ligi kuu Kwa kutegemea matokea ya Pamba na Play Off.
On top of that Mbeya ilikuwa na timu ya Ihefu ambayo imenunuliwa na kuhamia Singida Aidha Mbeya City imemaliza nafasi ya 6 hivyo inajipanga Kwa Ajili ya kupambana na kuhakikisha inarejea Ligi kuu msimu ujao.
View: https://www.instagram.com/p/C6CIES8t4pi/?igsh=YW52MXd2bjRwdjJk
Hoja Chokonozi.
Inakuaje Serikali inautenga Mkoa huu wa Mbeya Kwa Kushindwa kujenga miundombinu rafiki Kwa michezo hasa uwanja wa Kisasa wa mpira ikizingatiwa huu ni Mkoa wa vipaji?
Watu wa Mbeya Wana stahili na ni Haki Yao ukilinganisha na huko kwingine ambako Serikali inapendelea.Ni aibu kuwa na uwanja mbovu kama Sokoine ndani ya Jiji.
KenGold yenye Makao yake Chunya Mbeya imefikisha pointi ambazo haziwezi kupigwa na timu shindani hivyo kutawazwa kuwa timu ya kwanza kutinga Ligi kuu huku mechi za mwisho zikisubiriwa kuamua watakoungana na KenGold na kuchukua ubingwa.
Chini yake Kuna timu nyingine kutoka Mbeya ya Mbeya kwanza ambayo inatumia uwanja wa Nangwanda Sijaona Mtwara ambayo nayo inaweza kupanda Ligi kuu Kwa kutegemea matokea ya Pamba na Play Off.
On top of that Mbeya ilikuwa na timu ya Ihefu ambayo imenunuliwa na kuhamia Singida Aidha Mbeya City imemaliza nafasi ya 6 hivyo inajipanga Kwa Ajili ya kupambana na kuhakikisha inarejea Ligi kuu msimu ujao.
View: https://www.instagram.com/p/C6CIES8t4pi/?igsh=YW52MXd2bjRwdjJk
Hoja Chokonozi.
Inakuaje Serikali inautenga Mkoa huu wa Mbeya Kwa Kushindwa kujenga miundombinu rafiki Kwa michezo hasa uwanja wa Kisasa wa mpira ikizingatiwa huu ni Mkoa wa vipaji?
Watu wa Mbeya Wana stahili na ni Haki Yao ukilinganisha na huko kwingine ambako Serikali inapendelea.Ni aibu kuwa na uwanja mbovu kama Sokoine ndani ya Jiji.