Kupanda Ligi Kuu kwa timu ya KenGold inadhihirisha kwamba Mbeya ni mkoa wa soka na Vipaji. Kwanini Serikali haijengi uwanja wa kisasa Mbeya?

Kupanda Ligi Kuu kwa timu ya KenGold inadhihirisha kwamba Mbeya ni mkoa wa soka na Vipaji. Kwanini Serikali haijengi uwanja wa kisasa Mbeya?

Acha kulalamika mtoa mada.Huo uwanja wa sokoine kwani ni msitu au bwawa kwamba mpira hauchezeki?Serikali haiwezi kufanya vitu vyote kwa wakati mmoja.
Hata kama Kuna vipaji lakini siyo sababu ya kuzumnguza kauli za kibaguzi na uchonganishi.
Soma na elewa mada.
 
Kosa la Mbeya ni kuichagua Chedema kwa iyo hawawezi kubet kuanzisha mradi mkubwa huku wakiwa hawana uhakika pengine wanaweza kutolewa. Angalia tu barabara ya Nsalaga mpaka Songwe imesainiwa toka mwaka jana wakisema mkandarasi ataanza sio muda chakushangaza mpaka leo hakuna kinachofanyika.

Siasa kila mahali. Mbeya instahili mengi sana
Umekula maharage ya wapi wewe?
 
Timu ya KenGold kutoka Mbeya imekuwa timu ya kwanza kupanda Ligi kuu ya NBC premiership.

KenGold yenye Makao yake Chunya Mbeya imefikisha pointi ambazo haziwezi kupigwa na timu shindani hivyo kutawazwa kuwa timu ya kwanza kutinga Ligi kuu huku mechi za mwisho zikisubiriwa kuamua watakoungana na KenGold na kuchukua ubingwa.

Chini yake Kuna timu nyingine kutoka Mbeya ya Mbeya kwanza ambayo inatumia uwanja wa Nangwanda Sijaona Mtwara ambayo nayo inaweza kupanda Ligi kuu Kwa kutegemea matokea ya Pamba na Play Off.

On top of that Mbeya ilikuwa na timu ya Ihefu ambayo imenunuliwa na kuhamia Singida Aidha Mbeya City imemaliza nafasi ya 6 hivyo inajipanga Kwa Ajili ya kupambana na kuhakikisha inarejea Ligi kuu msimu ujao.


View: https://www.instagram.com/p/C6CIES8t4pi/?igsh=YW52MXd2bjRwdjJk

Hoja Chokonozi.
Inakuaje Serikali inautenga Mkoa huu wa Mbeya Kwa Kushindwa kujenga miundombinu rafiki Kwa michezo hasa uwanja wa Kisasa wa mpira ikizingatiwa huu ni Mkoa wa vipaji?

Watu wa Mbeya Wana stahili na ni Haki Yao ukilinganisha na huko kwingine ambako Serikali inapendelea.Ni aibu kuwa na uwanja mbovu kama Sokoine ndani ya Jiji.

View attachment 2970835View attachment 2970836


View: https://www.instagram.com/reel/C6UO6XbLkFG/?igsh=Y3V2NzIzc2JleDR6
 
Hizo timu mbona zikipanda ligi kuu zinashuka tena?

Kuhusu vipaji vya mpira Tanzania hamna vipaji vya mpira

Hamna wachezaji wenye uwezo wa kucheza mpira wenye skills Kama Azizi K .

Ukimtoa samatta ambaye kipaji chake kimetokana na kujitunza .

Hawa wachezaji wetu bado Sana.
 
Hizo timu mbona zikipanda ligi kuu zinashuka tena?

Kuhusu vipaji vya mpira Tanzania hamna vipaji vya mpira

Hamna wachezaji wenye uwezo wa kucheza mpira wenye skills Kama Azizi K .

Ukimtoa samatta ambaye kipaji chake kimetokana na kujitunza .

Hawa wachezaji wetu bado Sana.
Akili huna yaani kwako Aziz Ki ndio umeona ni kipaji au?
 
Kwani serikali imejenga viwanja vya kisasa mikoa gani mingine hadi useme Mbeya wanatengwa?
 
Back
Top Bottom