ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #21
Wanaoendelea Kwa wavutabangi wa Arusha ,hovyo kabisaMbeya na mwanza ni hub za vipaji tz ila ndio hivyo mambo mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaoendelea Kwa wavutabangi wa Arusha ,hovyo kabisaMbeya na mwanza ni hub za vipaji tz ila ndio hivyo mambo mengi
Kwani mada yangu imetaja vipaji tuu?Kama viwanja vinatakiwa vijengwe kwa kigezo cha vipaji wangeanza morogoro.
Toa ujinga wako hapaUwanja wa Kisiasa wa nini tena? Nchi imejaa wanasiasa... Tuanze tena kuwajengea na uwanja? Duh!!!
Bora ijenge tu uwanja wa mpira wa kisasa.
Ni sawa ila uwanja wa kisiasa hapana... Ukipingwa unakasirika.Toa ujinga wako hapa
Akili za watchmanNi sawa ila uwanja wa kisiasa hapana... Ukipingwa unakasirika.
Nyie ndo mkiwa viongozi mkipingwa mnapoteza watu nyie.
Mkuu Police Tz ilikuwa ya wapi?Pia tunaitaka pamba wana tp lindanda warudi kwenye ligi kuu, mwanza ilipoa sana kisoka, uwanja wa kirumba uchangamke tena. Kuna arusha na moshi zimepotea sana kisoka muda mrefu tangu zama za afc na ushirika nazo ziibuke tena
ilikuwa ya moshi na uwanja wao ulikuwa wa ushirika. Hiyo polisi ya moshi haikuleta shangwe kubwa kama ile ya wakati wa ushirika. Kumbuka pia polisi walikuwa na timu zao nyingi mikoani kama polisi kigoma, polisi mara, polisi singida zilishiriki mpaka ligi daraja la nne za mikoani kwao ziliko. Timu za majeshi hazina vibe kubwa kama timu zingine zisizo za majeshi. Timu za uraiani ndizo zenye mashabiki wengi kuliko za majeshiMkuu Police Tz ilikuwa ya wapi?
We una stressHayo ni mambo ya kipuuzi tu, mipira ni vitu vya kipuuzi tu, watu serious hawawezi kujishughulisha na vitu vya kipuuzi
Money talksMbeya wako vizuri kwa miaka ya hivi karibuni wanakimbiza sana kwenye kupandisha timu ligi kuu.
Timu ya KenGold kutoka Mbeya imekuwa timu ya kwanza kupanda Ligi kuu ya NBC premiership.
KenGold yenye Makao yake Chunya Mbeya imefikisha pointi ambazo haziwezi kupigwa na timu shindani hivyo kutawazwa kuwa timu ya kwanza kutinga Ligi kuu huku mechi za mwisho zikisubiriwa kuamua watakoungana na KenGold na kuchukua ubingwa.
Chini yake Kuna timu nyingine kutoka Mbeya ya Mbeya kwanza ambayo inatumia uwanja wa Nangwanda Sijaona Mtwara ambayo nayo inaweza kupanda Ligi kuu Kwa kutegemea matokea ya Pamba na Play Off.
On top of that Mbeya ilikuwa na timu ya Ihefu ambayo imenunuliwa na kuhamia Singida Aidha Mbeya City imemaliza nafasi ya 6 hivyo inajipanga Kwa Ajili ya kupambana na kuhakikisha inarejea Ligi kuu msimu ujao.
View: https://www.instagram.com/p/C6CIES8t4pi/?igsh=YW52MXd2bjRwdjJk
Hoja Chokonozi.
Inakuaje Serikali inautenga Mkoa huu wa Mbeya Kwa Kushindwa kujenga miundombinu rafiki Kwa michezo hasa uwanja wa Kisasa wa mpira ikizingatiwa huu ni Mkoa wa vipaji?
Watu wa Mbeya Wana stahili na ni Haki Yao ukilinganisha na huko kwingine ambako Serikali inapendelea.Ni aibu kuwa na uwanja mbovu kama Sokoine ndani ya Jiji.
View attachment 2970835View attachment 2970836
Hata kama sio hii ila uwe na hadhi