Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ualimu tz ni wito..,,waache wapige kazi.
nalipwa 589000 we unalipwa ngapi? Maana naona mmegangania walimu na huku mishahara ya utumish wa umma ni sawa. Ukitoa manes na madaktar ambao kiukwel kaz yao ngumu i.e cm iwe hewan 24 hrz maana emergency n mda wowote hata midnight, vidonda, maiti, harufu ya wod, majeraha ya ajal, operations.etc! Am proud to be a teacher kaz yangu hainiban after 2:40 nko free kufanya mambo yangu.
nalipwa 589000 we unalipwa ngapi? Maana naona mmegangania walimu na huku mishahara ya utumish wa umma ni sawa. Ukitoa manes na madaktar ambao kiukwel kaz yao ngumu i.e cm iwe hewan 24 hrz maana emergency n mda wowote hata midnight, vidonda, maiti, harufu ya wod, majeraha ya ajal, operations.etc! Am proud to be a teacher kaz yangu hainiban after 2:40 nko free kufanya mambo yangu.
Tukianza jadili vipato vyetu utaona nakutamanisha maisha mkuu. Hoja yangu ilijikita kwenye ari yao ya kudai madai yao! Hivi unafahamu madai katika malimbikizo ya walimu yameanza mwaka gani? Unafahamu mpaka sasa wastaafu wangapi hawajalipwa stahili zao? Nasisitiza,usitake tuingie kwenye kujadili vipato!!
We Hujui Lolote Wewe Unaleta Bla Bla Tu Humu, Haya Nitajie Scale Za Mishahara Serikalini? Ukiona Hujui Ujue Unajipamba Tu
Ualimu tz ni wito..,,waache wapige kazi.
Endelea kujifariji na hiyo 589000 najua ikigongwa makato inayobaki ni siri yako lkn mkuu anahimiza umoja ili nanyi Yale mapunjo yenu muwe mnalipwa kwa wakati .
Ulisha waona walimu ni omba omba mtaani? mbona wanaishi kama hao wanaopokea mamilioni?
Ulisha waona walimu ni omba omba mtaani? mbona wanaishi kama hao wanaopokea mamilioni?
Tukianza jadili vipato vyetu utaona nakutamanisha maisha mkuu. Hoja yangu ilijikita kwenye ari yao ya kudai madai yao! Hivi unafahamu madai katika malimbikizo ya walimu yameanza mwaka gani? Unafahamu mpaka sasa wastaafu wangapi hawajalipwa stahili zao? Nasisitiza,usitake tuingie kwenye kujadili vipato!!
kwa kujitetea huku, am more than sure umejiajir. Na elimu yako kama umesoma saaana bas form four. Nan kakwambia wastaafu wanalipwa na serkal stahk zao??? Inadepend na mfuko huska alo chagua mwajiriwa. Nimetaja makusud mshahara wangu since topic umeandka juu ya kupanda kwa mshahara, otherwse tym z money since kaz hainiban naweza udouble hata mara tatu through shughul zangu bnafsi. Wats importan ni security, kiafya, kijamii na hata dhamana ya kuendesha shughul bila stress. Kitu ambacho ww huna, ukiugua miezi 6 familia inahaaa! I love ma job, nmesomea kwakupenda.
kwa kujitetea huku, am more than sure umejiajir. Na elimu yako kama umesoma saaana bas form four. Nan kakwambia wastaafu wanalipwa na serkal stahk zao??? Inadepend na mfuko huska alo chagua mwajiriwa. Nimetaja makusud mshahara wangu since topic umeandka juu ya kupanda kwa mshahara, otherwse tym z money since kaz hainiban naweza udouble hata mara tatu through shughul zangu bnafsi. Wats importan ni security, kiafya, kijamii na hata dhamana ya kuendesha shughul bila stress. Kitu ambacho ww huna, ukiugua miezi 6 familia inahaaa! I love ma job, nmesomea kwakupenda.
We wakuja kweli hivi unaakili timamu kujivunia kamshahara ka laki tano!! Unahoji elimu yangu hivi hujui kuwa ualimu ni kazi rahisi na yenye kuhitaji pass mark za chini sana!! Hivi kwa akili yako tunaposema malimbikizo ya waalimu ambayo walimu wanaidai selikali miaka nenda rudi wewe unaelewa nini?
Wenzio wanapodai mazingira mazuri ya kufundishia na motisha kwako wewe ni nini?
Bado nasisitiza usitake kujua kipato changu na kazi zangu.
Endelea kujifariji na hiyo 589000 najua ikigongwa makato inayobaki ni siri yako lkn mkuu anahimiza umoja ili nanyi Yale mapunjo yenu muwe mnalipwa kwa wakati .