lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Hakuna haja hivihivi tu,box la kura ndio kauli yetu.Ungeweka na majina yako matatu na ofisi unayofanyia kazi ingependeza zaidi... ili tufanye maamuzi yakinifu
Naipenda Sana nchi yangu ndio maana nitamchagua Mtu anayewapenda wananchi.Ipende nchi yako kwanza hizo ela zenu ndo zinajenga nchi
Kama alivyofutwa mtu kule kigamboni sio?[emoji28]28-10 tunamfuta kazi mtu
Kwahiyo wewe unaweza kumkataa Baba ako kisa ameamua ndani ya nyumba mle Ugali tembele au ugali maharage ili hela ambayo angewanunulia nyama ya Kuku au ng'ombe ameamua kuwajengea nyumba nzuri ya tofali na bati ili muachane na nyumba ya udongo na manyasi...?Kikao hiki ni muhimu sana kwa mustakabali wa maisha yetu.
Awamu ya tano imeweka rekodi ya kutunyima kupanda madaraja na mishahara tena kwa dharau.
Kura zeru zinatosha kupeleka ujumbe kwamba sisi pia ni binadamu.
Wao wanapesa hadi za kugawa mitaani, na kununua jogoo kwa laki moja lakini swala la mishahara yetu linaonekana ni la kipuuzi.
Agenda.
1. Wafanyakazi wa umma kwenda kupiga kura.. Hamasa.
2. Kukataa jina la mtu jeuri asiye thamini wafanyakazi wa umma.
3. Mengineyo.
Karibu mwenyekiti na wajumbe kikao kimefunguliwa.
View attachment 1530815
Ili mfanye mchongo akamatweUngeweka na majina yako matatu na ofisi unayofanyia kazi ingependeza zaidi... ili tufanye maamuzi yakinifu
Jazia huu au kuna ubaya?
Kuna process gani kupata kibali cha kuvuna magogo?Nafanyakazi afisa misitu,huu ni mwaka wa 5 hakuna nyongeza ya mshahara wala kupandishwa daraja.
Kura yangu kwa Lissu hakuna namna tena.
Uongozi huu umezidi dharau na kutowajali wafanyakazi.Kikao hiki ni muhimu sana kwa mustakabali wa maisha yetu.
Awamu ya tano imeweka rekodi ya kutunyima kupanda madaraja na mishahara tena kwa dharau.
Kura zeru zinatosha kupeleka ujumbe kwamba sisi pia ni binadamu.
Wao wanapesa hadi za kugawa mitaani, na kununua jogoo kwa laki moja lakini swala la mishahara yetu linaonekana ni la kipuuzi.
Agenda.
1. Wafanyakazi wa umma kwenda kupiga kura.. Hamasa.
2. Kukataa jina la mtu jeuri asiye thamini wafanyakazi wa umma.
3. Mengineyo.
Karibu mwenyekiti na wajumbe kikao kimefunguliwa.
View attachment 1530815
Yaani TL tusimpe kura kabisa, kwanza anadharau hadi wimbo wa taifa, anabweka tu!Kikao hiki ni muhimu sana kwa mustakabali wa maisha yetu.
Awamu ya tano imeweka rekodi ya kutunyima kupanda madaraja na mishahara tena kwa dharau.
Kura zeru zinatosha kupeleka ujumbe kwamba sisi pia ni binadamu.
Wao wanapesa hadi za kugawa mitaani, na kununua jogoo kwa laki moja lakini swala la mishahara yetu linaonekana ni la kipuuzi.
Agenda.
1. Wafanyakazi wa umma kwenda kupiga kura.. Hamasa.
2. Kukataa jina la mtu jeuri asiye thamini wafanyakazi wa umma.
3. Mengineyo.
Karibu mwenyekiti na wajumbe kikao kimefunguliwa.
View attachment 1530815
Ipende nchi yako kwanza hizo ela zenu ndo zinajenga nchi