Simba zee 33
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 1,374
- 1,564
Hivi wewe hujui kama kulikua na maelfu ya waalimu hewa?TOA mfano wa huo ujanjaujanja, otherwise blaablaa.
Sasa huo sio ujanja ujanja?
Sasa Hivi mambo hayo hakuna tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wewe hujui kama kulikua na maelfu ya waalimu hewa?TOA mfano wa huo ujanjaujanja, otherwise blaablaa.
Mkuu nchi hii Ukitaka kuishi kwa raha lazima ufute sheria bila shuruti na ulipe kodi
Yaani mkuu kama Ukitaka kuishi ki ujanja janja lazima uumie maana mianya yote ya wapiga dili imeziba kabisaWapo waliopandishwa vyeo 2015 baadhi wamestaafu bila ya kupewa mapunjo Hadi leo
Poleni sana, awamu hii kuna mambo mengi sana ya dhulumati...
Cc: mahondaw[
[/QUOTE]
Ukitaka kufaidi matunda ya awamu hii ya Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake
Tii sheria bila shuruti
Lipa kodi
Utafaidi matunda
Vinginevyo utaumia sana maana mianya ya wapiga dili imeziba kabisa
Honestly speakingMi CCM bwana[emoji79]
Hata hivo walimu acha muumie na bado, mnayoyafanyaga nyakati za uchaguzi ipo siku.