Kupandishwa vyeo, mishahara na mengineyo: Watumishi wa umma mna maoni gani?

Kupandishwa vyeo, mishahara na mengineyo: Watumishi wa umma mna maoni gani?

Mimi simchagui ng'o, labda nirukwe na akili.

IMG_20200808_083637_084.JPG
 
Kikao hiki ni muhimu sana kwa mustakabali wa maisha yetu.

Awamu ya tano imeweka rekodi ya kutunyima kupanda madaraja na mishahara tena kwa dharau.

Kura zeru zinatosha kupeleka ujumbe kwamba sisi pia ni binadamu.

Wao wanapesa hadi za kugawa mitaani, na kununua jogoo kwa laki moja lakini swala la mishahara yetu linaonekana ni la kipuuzi.

Agenda.

1. Wafanyakazi wa umma kwenda kupiga kura.. Hamasa.

2. Kukataa jina la mtu jeuri asiye thamini wafanyakazi wa umma.

3. Mengineyo.

Karibu mwenyekiti na wajumbe kikao kimefunguliwa.


View attachment 1530815
Kwahiyo wewe unaweza kumkataa Baba ako kisa ameamua ndani ya nyumba mle Ugali tembele au ugali maharage ili hela ambayo angewanunulia nyama ya Kuku au ng'ombe ameamua kuwajengea nyumba nzuri ya tofali na bati ili muachane na nyumba ya udongo na manyasi...?
 
Wafanyakazi ambao wanaweza kumchagua Magufuli ni wa TRA tu ambao walipandishiwa mishahara zaidi ya 300% mwaka jana.

Mtu alikua analipwa laki 8 leo analipwa 3.6m, mtu alikua analipwa milioni 4 leo analipwa milioni 10.
 
Kikao hiki ni muhimu sana kwa mustakabali wa maisha yetu.

Awamu ya tano imeweka rekodi ya kutunyima kupanda madaraja na mishahara tena kwa dharau.

Kura zeru zinatosha kupeleka ujumbe kwamba sisi pia ni binadamu.

Wao wanapesa hadi za kugawa mitaani, na kununua jogoo kwa laki moja lakini swala la mishahara yetu linaonekana ni la kipuuzi.

Agenda.

1. Wafanyakazi wa umma kwenda kupiga kura.. Hamasa.

2. Kukataa jina la mtu jeuri asiye thamini wafanyakazi wa umma.

3. Mengineyo.

Karibu mwenyekiti na wajumbe kikao kimefunguliwa.


View attachment 1530815
Uongozi huu umezidi dharau na kutowajali wafanyakazi.
 
Kikao hiki ni muhimu sana kwa mustakabali wa maisha yetu.

Awamu ya tano imeweka rekodi ya kutunyima kupanda madaraja na mishahara tena kwa dharau.

Kura zeru zinatosha kupeleka ujumbe kwamba sisi pia ni binadamu.

Wao wanapesa hadi za kugawa mitaani, na kununua jogoo kwa laki moja lakini swala la mishahara yetu linaonekana ni la kipuuzi.

Agenda.

1. Wafanyakazi wa umma kwenda kupiga kura.. Hamasa.

2. Kukataa jina la mtu jeuri asiye thamini wafanyakazi wa umma.

3. Mengineyo.

Karibu mwenyekiti na wajumbe kikao kimefunguliwa.


View attachment 1530815
Yaani TL tusimpe kura kabisa, kwanza anadharau hadi wimbo wa taifa, anabweka tu!
 
Back
Top Bottom