Hakuna haja hivihivi tu,box la kura ndio kauli yetu.
Ni wakati wetu Sasa kujidai.
Kwahiyo wewe unaweza kumkataa Baba ako kisa ameamua ndani ya nyumba mle Ugali tembele au ugali maharage ili hela ambayo angewanunulia nyama ya Kuku au ng'ombe ameamua kuwajengea nyumba nzuri ya tofali na bati ili muachane na nyumba ya udongo na manyasi...?
TRA ya Burundi labda. TRA hakuna kitu kama hichoWafanyakazi ambao wanaweza kumchagua Magufuli ni wa TRA tu ambao walipandishiwa mishahara zaidi ya 300% mwaka jana.
Mtu alikua analipwa laki 8 leo analipwa 3.6m, mtu alikua analipwa milioni 4 leo analipwa milioni 10.
Watu kama nyinyi ndiyo mnaosababisha matatizo kwa kutegemea posho za usimamizi wa uchaguzi.ha ha ha ha... bavicha mna matatizo sana. Anaandika mmoja alaf mnaanza kukomenti wenyewe..
Ni kweli hatujapanda madaraja,
ni kweli mishahara haijapanda,
lakini pesa ambayo tungeongezewa tunaona inavyotumika kwa mambo ya msingi kabisa kwa maendeleo endelevu ya inch yetu.
Nyie endeleeni kujidanganya.. hakuna mtu wa kumzidi magu.
Wanatudharau sana.utasikia tunatukanwa mbele ya wake zetu kuwa sisi ni majizi na mafisadi huku uhalisia wao ndio wanafuja pesa za walipa kodi wa nchi hii.Mbona wao wana nunua kuku wa laki moja wakati sisi hadi pesa ya chumvi hatuna.[emoji111][emoji1]
Hamna kitu kibaya kama kuminya maslahi ya watumishi wa umma, kuwatisha, harafu unatangaza umeongeza nidhamu ya watumishi. Ni nidhamu ya woga.
Huyu jamaa amewatesa wafanyakazi hasa wa sekta binafsi kwa kuondoa fao la kujitoa. Hiki ni kitanzi kwa wafanyakazi wenye mikataba isiyo na uhakika. Yaani mtu afukuzwe kazi leo akiwa na miaka 20, asubiri mafao yake akifika miaka 55. Huu ni uonevu ambao inatakiwa kushughulikiwa..
Watu kama nyinyi ndiyo mnaosababisha matatizo kwa kutegemea posho za usimamizi wa uchaguzi.
Tufunge kikao
Kweli mhamasishane. Leo nimekutana na dada mmoja ni RN.Yaani Nurse aliyesajiliwa. Before that alikuwa NA akaenda kusoma diploma. Tangia miaka mitatu sasa ni RN ila bado analipwa mshahara wa NA.Leo nikamuambia mpigie Lissu Kura.Magufuli anatesa sana wafanyakazi wa umma watu wanakwenda kusoma wanamaliza wanatuma barua wizarani,vyeti vyao vya upgrade. Ila bado wanalipwa mishahara ya grade zao za zamani. Yaani mkimpa kura Magufuli mtakuwa hamjielewi.
Hilo mbona halina mjadala????!!!!!Kikao hiki ni muhimu sana kwa mustakabali wa maisha yetu.
Awamu ya tano imeweka rekodi ya kutunyima kupanda madaraja na mishahara tena kwa dharau.
Kura zeru zinatosha kupeleka ujumbe kwamba sisi pia ni binadamu.
Wao wanapesa hadi za kugawa mitaani, na kununua jogoo kwa laki moja lakini swala la mishahara yetu linaonekana ni la kipuuzi.
Agenda.
1. Wafanyakazi wa umma kwenda kupiga kura.. Hamasa.
2. Kukataa jina la mtu jeuri asiye thamini wafanyakazi wa umma.
3. Mengineyo.
Karibu mwenyekiti na wajumbe kikao kimefunguliwa.
View attachment 1530815
Nina mchepuko wangu ni nesi aliesajiliwa na ni mkunga pia. Tangu aanze kazi ana miaka 10 sasa. Mshahara ni ulele.Kweli mhamasishane. Leo nimekutana na dada mmoja ni RN.Yaani Nurse aliyesajiliwa. Before that alikuwa NA akaenda kusoma diploma. Tangia miaka mitatu sasa ni RN ila bado analipwa mshahara wa NA.Leo nikamuambia mpigie Lissu Kura.Magufuli anatesa sana wafanyakazi wa umma watu wanakwenda kusoma wanamaliza wanatuma barua wizarani,vyeti vyao vya upgrade. Ila bado wanalipwa mishahara ya grade zao za zamani. Yaani mkimpa kura Magufuli mtakuwa hamjielewi.
Tutakutana kwenye ballot boxKeyboard warriors