Kupandishwa vyeo, mishahara na mengineyo: Watumishi wa umma mna maoni gani?

Kupandishwa vyeo, mishahara na mengineyo: Watumishi wa umma mna maoni gani?

Baba ako wewe.. usilete imani za kishirikina hapa..

Wote tuna haki ya kupata maidha yetu kulingana na sheria ya utumishi
Kwahiyo wewe unaweza kumkataa Baba ako kisa ameamua ndani ya nyumba mle Ugali tembele au ugali maharage ili hela ambayo angewanunulia nyama ya Kuku au ng'ombe ameamua kuwajengea nyumba nzuri ya tofali na bati ili muachane na nyumba ya udongo na manyasi...?
 
Hamna kitu kibaya kama kuminya maslahi ya watumishi wa umma, kuwatisha, harafu unatangaza umeongeza nidhamu ya watumishi. Ni nidhamu ya woga.

Huyu jamaa amewatesa wafanyakazi hasa wa sekta binafsi kwa kuondoa fao la kujitoa. Hiki ni kitanzi kwa wafanyakazi wenye mikataba isiyo na uhakika. Yaani mtu afukuzwe kazi leo akiwa na miaka 20, asubiri mafao yake akifika miaka 55. Huu ni uonevu ambao inatakiwa kushughulikiwa..
 
ha ha ha ha... bavicha mna matatizo sana. Anaandika mmoja alaf mnaanza kukomenti wenyewe..

Ni kweli hatujapanda madaraja,
ni kweli mishahara haijapanda,

lakini pesa ambayo tungeongezewa tunaona inavyotumika kwa mambo ya msingi kabisa kwa maendeleo endelevu ya inch yetu.

Nyie endeleeni kujidanganya.. hakuna mtu wa kumzidi magu.
 
ha ha ha ha... bavicha mna matatizo sana. Anaandika mmoja alaf mnaanza kukomenti wenyewe..

Ni kweli hatujapanda madaraja,
ni kweli mishahara haijapanda,

lakini pesa ambayo tungeongezewa tunaona inavyotumika kwa mambo ya msingi kabisa kwa maendeleo endelevu ya inch yetu.

Nyie endeleeni kujidanganya.. hakuna mtu wa kumzidi magu.
Watu kama nyinyi ndiyo mnaosababisha matatizo kwa kutegemea posho za usimamizi wa uchaguzi.
 
Cha ajabu yeye anatembea na maburungutu ya mil 5 kwenye ziara zake kuhonga wananchi wamchague
Hamna kitu kibaya kama kuminya maslahi ya watumishi wa umma, kuwatisha, harafu unatangaza umeongeza nidhamu ya watumishi. Ni nidhamu ya woga.

Huyu jamaa amewatesa wafanyakazi hasa wa sekta binafsi kwa kuondoa fao la kujitoa. Hiki ni kitanzi kwa wafanyakazi wenye mikataba isiyo na uhakika. Yaani mtu afukuzwe kazi leo akiwa na miaka 20, asubiri mafao yake akifika miaka 55. Huu ni uonevu ambao inatakiwa kushughulikiwa..
 
Kweli mhamasishane. Leo nimekutana na dada mmoja ni RN.Yaani Nurse aliyesajiliwa. Before that alikuwa NA akaenda kusoma diploma. Tangia miaka mitatu sasa ni RN ila bado analipwa mshahara wa NA.Leo nikamuambia mpigie Lissu Kura.Magufuli anatesa sana wafanyakazi wa umma watu wanakwenda kusoma wanamaliza wanatuma barua wizarani,vyeti vyao vya upgrade. Ila bado wanalipwa mishahara ya grade zao za zamani. Yaani mkimpa kura Magufuli mtakuwa hamjielewi.
 
Kabisa.. mfanyakazi atakaye mpigia kura Magufuli hana maana kabisa.. na hafai hata kwa utumishi
Kweli mhamasishane. Leo nimekutana na dada mmoja ni RN.Yaani Nurse aliyesajiliwa. Before that alikuwa NA akaenda kusoma diploma. Tangia miaka mitatu sasa ni RN ila bado analipwa mshahara wa NA.Leo nikamuambia mpigie Lissu Kura.Magufuli anatesa sana wafanyakazi wa umma watu wanakwenda kusoma wanamaliza wanatuma barua wizarani,vyeti vyao vya upgrade. Ila bado wanalipwa mishahara ya grade zao za zamani. Yaani mkimpa kura Magufuli mtakuwa hamjielewi.
 
Enzi za kikwete kila mwaka mishahara iliongezwa ila huyo mtu wenu miaka mi5 neiiiii na akasema kabisa haongezi hata kumi wakati anazindua daraja la salenda(jipya) aka Tanzanite bridge.
 
Kikao hiki ni muhimu sana kwa mustakabali wa maisha yetu.

Awamu ya tano imeweka rekodi ya kutunyima kupanda madaraja na mishahara tena kwa dharau.

Kura zeru zinatosha kupeleka ujumbe kwamba sisi pia ni binadamu.

Wao wanapesa hadi za kugawa mitaani, na kununua jogoo kwa laki moja lakini swala la mishahara yetu linaonekana ni la kipuuzi.

Agenda.

1. Wafanyakazi wa umma kwenda kupiga kura.. Hamasa.

2. Kukataa jina la mtu jeuri asiye thamini wafanyakazi wa umma.

3. Mengineyo.

Karibu mwenyekiti na wajumbe kikao kimefunguliwa.


View attachment 1530815
Hilo mbona halina mjadala????!!!!!
 
Kweli mhamasishane. Leo nimekutana na dada mmoja ni RN.Yaani Nurse aliyesajiliwa. Before that alikuwa NA akaenda kusoma diploma. Tangia miaka mitatu sasa ni RN ila bado analipwa mshahara wa NA.Leo nikamuambia mpigie Lissu Kura.Magufuli anatesa sana wafanyakazi wa umma watu wanakwenda kusoma wanamaliza wanatuma barua wizarani,vyeti vyao vya upgrade. Ila bado wanalipwa mishahara ya grade zao za zamani. Yaani mkimpa kura Magufuli mtakuwa hamjielewi.
Nina mchepuko wangu ni nesi aliesajiliwa na ni mkunga pia. Tangu aanze kazi ana miaka 10 sasa. Mshahara ni ulele.
 
Back
Top Bottom