mtamamtete
JF-Expert Member
- Jul 28, 2020
- 402
- 345
Mwanamalundi kigagula tu.ha ha ha ha... bavicha mna matatizo sana. Anaandika mmoja alaf mnaanza kukomenti wenyewe..
Ni kweli hatujapanda madaraja,
ni kweli mishahara haijapanda,
lakini pesa ambayo tungeongezewa tunaona inavyotumika kwa mambo ya msingi kabisa kwa maendeleo endelevu ya inch yetu.
Nyie endeleeni kujidanganya.. hakuna mtu wa kumzidi magu.
Ajenda zake zikoje kuhusu wafanyakazi??Wafanyakazi mwaka huu kura zotekwa lissu
Ajenda zake zikoje kuhusu wafanyakazi??
Ajira tunaosota zaidi ya miaka 4 kura zetu zituokoe kwa lisuKikao hiki ni muhimu sana kwa mustakabali wa maisha yetu.
Awamu ya tano imeweka rekodi ya kutunyima kupanda madaraja na mishahara tena kwa dharau.
Kura zeru zinatosha kupeleka ujumbe kwamba sisi pia ni binadamu.
Wao wanapesa hadi za kugawa mitaani, na kununua jogoo kwa laki moja lakini swala la mishahara yetu linaonekana ni la kipuuzi.
Agenda.
1. Wafanyakazi wa umma kwenda kupiga kura.. Hamasa.
2. Kukataa jina la mtu jeuri asiye thamini wafanyakazi wa umma.
3. Mengineyo.
Karibu mwenyekiti na wajumbe kikao kimefunguliwa.
View attachment 1530815
Na sisi tunapiga hapa hapa.. hata akiiba lakini ajue kuna watu hakuwa tendea vizuri
Ajira tunaosota zaidi ya miaka 4 kura zetu zituokoe kwa lisu
Mkuu hili lina ukweli?Wafanyakazi ambao wanaweza kumchagua Magufuli ni wa TRA tu ambao walipandishiwa mishahara zaidi ya 300% mwaka jana.
Mtu alikua analipwa laki 8 leo analipwa 3.6m, mtu alikua analipwa milioni 4 leo analipwa milioni 10.
Zinajenga nchi au zinanunua jogoo kwa laki moja ... MxieussszzzxIpende nchi yako kwanza hizo ela zenu ndo zinajenga nchi
Lipo wazi kurudia kosa ni matumizi mabaya ya akili kuchagua mateso yako again 5 yrs,Kama ameshindwa miaka 5 hawezi mitano tena.Kikao hiki ni muhimu sana kwa mustakabali wa maisha yetu.
Awamu ya tano imeweka rekodi ya kutunyima kupanda madaraja na mishahara tena kwa dharau.
Kura zeru zinatosha kupeleka ujumbe kwamba sisi pia ni binadamu.
Wao wanapesa hadi za kugawa mitaani, na kununua jogoo kwa laki moja lakini swala la mishahara yetu linaonekana ni la kipuuzi.
Agenda.
1. Wafanyakazi wa umma kwenda kupiga kura.. Hamasa.
2. Kukataa jina la mtu jeuri asiye thamini wafanyakazi wa umma.
3. Mengineyo.
Karibu mwenyekiti na wajumbe kikao kimefunguliwa.
View attachment 1530815
Kwaiyo ye hana mshahara sioZinajenga nchi au zinanunua jogoo kwa laki moja ... Mxieussszzzx
Nlisahau kuwa October raia wote tunakua wajumbe ha ha ha haaaa kisu tu
Tumia uelewa wako usitumiweAre you mad?
#NI YEYE.
Unabana matumizi kwa kufuta sherehe muhimu za kumbukukumbu za taifa kwa kizazi hiki,unabana safari za nje zenye tija then unazitumia kununulia wapinzani, kurudia uchaguzi, kumshughulikia mbowe hapa Ni sawa na kutwanga majiZinajenga nchi au zinanunua jogoo kwa laki moja ... Mxieussszzzx
Nlisahau kuwa October raia wote tunakua wajumbe ha ha ha haaaa kisu tu