Kupanga kulivyonikutanisha na huyu mdada

Kumbe ww ndo ulimfanya dada wa bucha anikatae!
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Mkuu kumbe wewe ndo ulikuwa unamsumbua,aisee una bahati maana nilipanga kumfanya huyo mtu anaemsumbua bibie ashike adabu
 
Bila shaka hata huhangaiki na gharama za kitoweo..
 
Hapo gheto kila siku minyama tuuh au sio mzee ?


Mikate tunashindia sisi watoto wa mbwa wa unyankunzu watoto famililahi bora liende
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ