Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha wanaume bana
maybe nckushike wewe hunijui vzr wewe😄😄Kwani vipi mkuu??
Mkuu kwani hujui kuwa muda mwingine mnasaidiana majukumu?Sehem uliyoyumba n mwanamke kukuambia nakuja kula badala ya nakuja kupika,kiuhalisia huyo mwanamke ndo kakuweka mjin,jitathimin upya kuna sehem unakosea
Mkuu kwani hujui kuwa muda mwingine mnasaidiana majukumu?
Isingekuwa sahihi mimi kukaa na njaa eti kisa mwanamke ndio anatakiwa kupika,tena muda mwingine kusaidiana kunaimarisha penzi lenu
[/QUOT Lakin c kukuambia nakuja kula,huwa unaweza kusema n kusaidiana ila as time goes yy ataona n jukumu lako kupika na c kumsaidia,kwa hyo mwsho wa cku inajaleta ugomv kama usipokuwa na msimamo unaoeleweka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Story ya Pythagoras inafanana na yangu 100%
Hivi ni lazima mwanamke apike? Halafu mtu kusema nakuja kula haimaanishi anategemea akute chakula kimepikwa, kwani hata akipika hatokula?Sehem uliyoyumba n mwanamke kukuambia nakuja kula badala ya nakuja kupika,kiuhalisia huyo mwanamke ndo kakuweka mjin,jitathimin upya kuna sehem unakosea
Kiswahili kigumu eh?nlitazamia aseme nakuja kupika,ss naona unataka muwekea maneno mdomoni kubadilisha uhalisia kat ya kuja kula na kuja kupikaHivi ni lazima mwanamke apike? Halafu mtu kusema nakuja kula haimaanishi anategemea akute chakula kimepikwa, kwani hata akipika hatokula?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfumo dume umemuharibu sana.Hivi ni lazima mwanamke apike? Halafu mtu kusema nakuja kula haimaanishi anategemea akute chakula kimepikwa, kwani hata akipika hatokula?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lengo lilikuwa kula mkuu, hii ina maana chakula kingekuwa hakijapikwa angepika ili ale.Kiswahili kigumu eh?nlitazamia aseme nakuja kupika,ss naona unataka muwekea maneno mdomoni kubadilisha uhalisia kat ya kuja kula na kuja kupika
Mwanaume yupo home,Kiswahili kigumu eh?nlitazamia aseme nakuja kupika,ss naona unataka muwekea maneno mdomoni kubadilisha uhalisia kat ya kuja kula na kuja kupika
Wanaume wetu wa kiafrika hawa wana tabu sana babeMfumo dume umemuharibu sana.
Anamwambia mwenzie ajitafakari wakati yeye ndie anapaswa kujitafakari na kubadili mfumo wa maisha yake