Kupanga kulivyonikutanisha na huyu mdada

Nichukue nafasi hii kumpa pole huyo uliemtongoza na akakubali.
 
Weka picha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana kijana ....................umepambana sana japo najua roho ilikuuma sana kutomgegeda huyo manzi wa chuo

Kwenye nyumba za kupanga, ukitaka kufaidi..

RULE 1; Usitikise mfupa mpangaji mwenzio........ mitikiso yako yote iwe ya mbali kama we ni baharia kweli.
 
hiyo kweli mkuu
 
Mkuu unakula nyama ya bucha na muuza bucha mwenyewe wewe si wa kawaida.
 
We bwana Kaluluma me ndo yule jirani yako hapo ghetto kesho nyama zitakazobaki mnikumbuke jirani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…