Kupangiwa kazi vijijini tayari unakuwa umeuliwa kifikra na kitaaluma

Kwani wanaka kwa miaka mingapi au miezi tu? Wewe unajilinganisha na watu wanao lipwa mshahara na allowance inao zidi kipato chote cha kijiji wewe unaota, kijijini ni nusu jahanamu unaishi kama mnyama wakufuga.
 
wapi huko,nko zangu hapa kijijini nimejenga kijumba changu,umeme IPO na kisima changu cha fully maji net inasoma 4G Mungu anipe Nini Sasa zaidi ya UHAI tu
 
ACHA kupotosha watu,mi mzawa wa shinyanga na nafanyia KAZI shinyanga Kuna wakulima huku wanalima tumbaku wanapiga zaidi ya milioni 20 Kwa msimu ,Sasa watamuonea wivu Gani mtumishi asie na pesa hata mambo ya waganga huo ni uongo 100%.
 
Tuambue hao volunteers wa kizungu wapo kijiji gani ili nipate uhakika, niende nikajionee maajabu.
 
Ndio mnavojidanganya, eti mtafanya serving, serving ya nyokwe! Kuna vijiji tuu kufata huduma nauli boda elfu 30, wakati mtu anatoka chanika to makumbusho kwanauli ya buku tuu
 
wapi huko,nko zangu hapa kijijini nimejenga kijumba changu,umeme IPO na kisima changu cha fully maji net inasoma 4G Mungu anipe Nini Sasa zaidi ya UHAI tu
Mungu akubariki asee
 
Ndio mnavojidanganya, eti mtafanya serving, serving ya nyokwe! Kuna vijiji tuu kufata huduma nauli boda elfu 30, wakati mtu anatoka chanika to makumbusho kwanauli ya buku tuu
Kuna vijiji maji ndoo moja ni 2000
 
Ndio mnavojidanganya, eti mtafanya serving, serving ya nyokwe! Kuna vijiji tuu kufata huduma nauli boda elfu 30, wakati mtu anatoka chanika to makumbusho kwanauli ya buku tuu
Hizo huduma unafata kila siku, mbali na hospital ni huduma ipi utaikosa kijijini.
 
Kwani wanaka kwa miaka mingapi au miezi tu? Wewe unajilinganisha na watu wanao lipwa mshahara na allowance inao zidi kipato chote cha kijiji wewe unaota, kijijini ni nusu jahanamu unaishi kama mnyama wakufuga.
😂😂😂😂 waambie hawa, mtumishi wa kijijini hana tofauti na mfungwa, na tabia zinaanza kubadirika na kuwa kama za mbuzi na pia hata ustaharabu unaanza kupotea.
 
Hizo huduma unafata kila siku, mbali na hospital ni huduma ipi utaikosa kijijini.
Vyakula, pia ukute kituo cha kazi kiko sehemu hakuna nyumba hata za kupanga, inabidi usafiri km10+ kwenda, hapo hakuna daladala kama mjini

Pili ukikuta unakaa huko huko porini kwenye nyumba za kituo, huduma za masoko unazifata 10+ km

Kifupi unaishi kama mnyama

Hayo maji unayosema ni ya bure, unakuta ni ya ma lambo yapo kilometer 5+ ulipo
 
Naongezea hapo
Ukipangiwa kazi vijijini sana basi tegemea kuwa mlevi wa mataputapu na sigara pori
Mbona mie nko kijijini sinywi aina yoyote ya kilevi na Wala stumii sigara!!!!?????
 
Watumishi wa mjini hawajui ili kila muda ni kuropoka tu mara kijijini kuna fursa mara utapewa chakula bure mara utapewa mifugo bure.
 
Watumishi wa mjini hawajui ili kila muda ni kuropoka tu mara kijijini kuna fursa mara utapewa chakula bure mara utapewa mifugo bure.
Akili zao ni kwamba kijijini hakuna matumizi [emoji1][emoji1][emoji1] kwamba unafanya tuu serving
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…