Kupangiwa kazi vijijini tayari unakuwa umeuliwa kifikra na kitaaluma

Kupangiwa kazi vijijini tayari unakuwa umeuliwa kifikra na kitaaluma

Kijijini fursa nyingi sana, hasa kwenye sekta ya ardhi, kilimo, ufugaji (ng'ombe wa maziwa, mbuzi...), usafirishaji, uvuvi (kwa baadhi ya maeneo), maji, na viwanda vidogo (kama kufyatua tofali, kutengeneza makochi, kushona nguo...).

Pia kijijini wana jamii wanakuwa na ushirikiano mkubwa sana kwa wataalamu wa afya, jambo linalokupatia faraja kubwa ambayo ina thamani kubwa isiyoweza kupimwa kwa kipato cha pesa.

Kijijini pia unapata muda wa kuwa karibu na familia yako kama unayo.

Kijijini unaweza kupata nyumba ya serikali bure, au ukapata nyumba nzuri kwa gharama nafuu, hivyo kusave something.

In short kijijini fursa ni nyingi kuliko mjini kwa watu wenye mshahara unaolingana, na kwa mwenye akili inachangamka zaidi nje ya your comfort zone kuliko kudumaa mjini na vijiwe (kufanya fani moja pekee).
Watu wengi wakistafu wanarudi mjini Sasa na mipango mizuri sikuzote wekeza zaidi pale ambapo una malengo ya kustafu Sasa hii miradi au fursa ulizotaja hapa ukishastafu na kurudi mjini unaenda kuanza upya tena inakuwa umefanya kazi bure au ndio unampango wa kuzeekea na kufa huko porini.
 
Watu wengi wakistafu wanarudi mjini Sasa na mipango mizuri sikuzote wekeza zaidi pale ambapo una malengo ya kustafu Sasa hii miradi au fursa ulizotaja hapa ukishastafu na kurudi mjini unaenda kuanza upya tena inakuwa umefanya kazi bure au ndio unampango wa kuzeekea na kufa huko porini.
Unarudi Mjini kuishi ila shughuli zako zinasalia kuwa Kijijini,mjini hakuna mashamba
 
Atapata fursa zingine mfano kujenga godowns za mazao,mashine za kuchakata mazao, usafir,duka la jumla yaani unanunua mjini vitu kwa jumla unaweka home kwako unaanza wasambazia wenye viduka vidogo vijijini mfano mbolea,madawa,mahitaji ya dukani,vifaa vya sola,nk.
Ukitaka starehe unaendaa mjini.
Kirahisi tu namna hio. Mshahara wa laki 4 na nusu unajengaje godauni🤣
 
Ni kweli mkuu
Enzi hizo nikiwa bado msaga mashine wa kijiji kule kijijiji kwetu nimewala sana waalimu wapya maana mie ndo nilikuwaga mjanja mjanja ambaye niliwahi kufika Dasilamu[emoji38]
Unatupiga fix kiaina haya twende kaz.
 
Kote huko nakufahamu Mimi ni WA huko na mzazi wangu alikuwa Mwalimu hizo Wilaya amehanishwa sana hata kabla Momba haijazaliwa..

Sasa Mzee Kuna shida gani kutoka Ileje Hadi Mpemba full mkeka ,harafu Isongole na itumba Kwa Sasa Kuna nafuu sio kama zamani.

Tanganyika Iko jirani na Mpanda Mjini,Momba ndio Bado Kwa sababu Halmashauri ilijengwa Kijijini sana ila Kwa sasa Kuna nafuu kama.alivyokwambia Jamaa hapo Juu sio sawa na 2020 unayoisemea wewe..

Ni kama Vile Uyui pale Makao yya Wilaya panaitwa Isikizya ni Kijiji kabisaa ila bahati Yao wao Barabara kuu..

Tanzania hii naifahamu sana ,Mimi nafanya kazi za ukandarasi Vijijini ndio kazi tunashinda huko..

Mfano Kwa Mkoa wa Rukwa Vijiji vibaya ni vya Mwambao wa Ziwa Tanganyika tuu , vingine vyote vizuri na vinafikika safi yaani viko liveable
Momba wenye unafuu wa maisha ambao niliona Wana ule unafuu ni watumishi walioajiriwa kule juu (Sumbawanga road)
Ila kule bondeni, HAKUNA ASIYEWAZA KUHAMA KULEE.

Hata huyu SHAZ96 anakuzingua tu ukute ni ajira mpya.

Hivi unajua Kuna watu wanaajiriwa huko Momba, ila wanafika tu kazini huwa wanaacha hapohapo???

Jamaa angu yeye alijikomboa (ni mtendaji kata)

Kila juma5 tuko nae mjini tunafanya biashara, ila anakwambia "Ukiajiriwa Momba dishi lazima liyumbe"

#YNWA
 
Hata uwe na solar kama mazingira yanayokuzunguka ni watupori lazima na wewe uwe pori
Pengine hujafika hivyo vijiji ninavyomaanisha unadhani nikisema kijiji namaanisha kijiji cha Makumbusho Dar[emoji1787]
Ili uendelee na kupanuka kifikra lazma uzungukwe na watu waliofanikiwa zaidi. Ndio maana mjini humu watu wanashindana na kupambana kuiba ili wajenge mijengo mikali, ndinga kali na miradi kama mahoteli, mashule, ma lodge na mabiashara makubwa.

Sasa ukae kijijini ambako wewe mwenye Rav 4 dume ndio unakuwa role model wao. Hakuna mtu ambaye anaku motivate. Vijiwe ni vilabu vya komoni, ulanzi, choya ambako wenye akili humo wanawaza kuvuna heka 3 na kuongeza wake tu. Kujenga nyumba ya tofali za kuchoma bure kabisa. Very odd thinking ukiwa mtu wa kusikilizia utashangaa umefika 50s huna cha maana zaidi ya kishamba cha mihogo na kijumba cha tofali za kuchoma.
 
M
Kijijini fursa nyingi sana, hasa kwenye sekta ya ardhi, kilimo, ufugaji (ng'ombe wa maziwa, mbuzi...), usafirishaji, uvuvi (kwa baadhi ya maeneo), maji, na viwanda vidogo (kama kufyatua tofali, kutengeneza makochi, kushona nguo...).

Pia kijijini wana jamii wanakuwa na ushirikiano mkubwa sana kwa wataalamu wa afya, jambo linalokupatia faraja kubwa ambayo ina thamani kubwa isiyoweza kupimwa kwa kipato cha pesa.

Kijijini pia unapata muda wa kuwa karibu na familia yako kama unayo.

Kijijini unaweza kupata nyumba ya serikali bure, au ukapata nyumba nzuri kwa gharama nafuu, hivyo kusave something.

In short kijijini fursa ni nyingi kuliko mjini kwa watu wenye mshahara unaolingana, na kwa mwenye akili inachangamka zaidi nje ya your comfort zone kuliko kudumaa mjini na vijiwe (kufanya fani moja pekee).
mwanangu una akili sana achana na mtoa post akili yake ipo kwenye comfort zone bado imejaa tope
 
Hakuna mwajiriwa anayeweza kusave kama yule wa kijijini kama hatopenda starehe za kwenda kwenda visafari vya mjini.

Kijijini kuna uzuri wake pia na changamoto zake, changamoto kubwa kuliko zote siyo maji wala umeme bali ni kuishi na wanakijiji wa pale, ukileta umjini pale unakufa au kuacha kazi bila kujua. Ishi nao kwa akili sana inabid ufanane nao kila kitu.
 
Hivi Kuna maeneo bado wanatumia mafuta taa?
Kwamba hata solar hamna?

Umaskini upo lakini sio kama ulivo-potray hapa
Hayo maeneo yapo lakini ni kwamba kwa sasa wafanyabiashara wa sola wamefika huko. Ila wengi wao hawana umeme wa Tanesco wala hawana sola ya umeme wa kutosheleza mahitaji labda sola hizi tochi za kuwasha kwa ajili ya mwanga tu.

Mi kuna kitongoji jirani na kijiji chetu hawana access ya umeme wa Tanesco ila huduma zao wanakuja kwetu kama kusaga nafaka, kuchaji simu, n.k
 
Momba wenye unafuu wa maisha ambao niliona Wana ule unafuu ni watumishi walioajiriwa kule juu (Sumbawanga road)
Ila kule bondeni, HAKUNA ASIYEWAZA KUHAMA KULEE.

Hata huyu SHAZ96 anakuzingua tu ukute ni ajira mpya.

Hivi unajua Kuna watu wanaajiriwa huko Momba, ila wanafika tu kazini huwa wanaacha hapohapo???

Jamaa angu yeye alijikomboa (ni mtendaji kata)

Kila juma5 tuko nae mjini tunafanya biashara, ila anakwambia "Ukiajiriwa Momba dishi lazima liyumbe"

#YNWA
Uzuri ni kwamba ukiacha wengine wanaajiriwa..

Siku Moja nimeenda site kuoneshwa Ili tuchonge Barabara ni Mwambao mwa Ziwa Tanganyika yaani Kuna Vijiji vingi sana havina Barabara usafiri wao ni maji na Kwa maboti ya kienyeji..

Sasa tukaanza safari ndio ilikuwa mara ya kwanza kusafiri kwenye mi via mitumbwi ya kienyeji no life jacket no nini? Aisee niliogopa nikafikiria mara mbili kwamba hivi hakuna kazi nyingine ya kufanya Hadi hii inayohatarisha maisha yangu?
IMG_20230510_165458_712.jpg
IMG_20230510_160121_925.jpg

Nikamwambia mwenyeji Wetu mtendaji kata kwamba Mimi kama ndio maisha haya daily naweza acha kazi,akacheka akasema ukixoea utaona kawaida akatutia Moyo wewe yaani hapo mnarushwa Juu na mawimbi harafu unashuka paa yaani kufa Nje Nje..

Hapo ndio nikasema Vijiji vya dizaini hiyo hapana ,Hadi Leo nilisema wakija kusema niende tena ntawajibu Nina kizungu zungu,kusafiri km 40 ndani ya maji sio mchezo.
IMG_20230510_160117_053.jpg
 
Upo sahihi kabisaaa

Wale wa Halmashauri za Wilaya zile ngumuuu kama

1. Ukerewe
2. Momba
3. Mpimbwe
4. Mlele
5. Tanganyika

Watakuelewa vizuri sanaaa. Ukiwa halmashauri hizi Kutoboa ki exporure, academic na financially ni taabu sanaaaaaa.

Raia wa humo huwaza kulima na kufuga tu.

#YNWA
Sasa ukilima na kufuga ukapata mahela unataka NN ?
 
Ili uendelee na kupanuka kifikra lazma uzungukwe na watu waliofanikiwa zaidi. Ndio maana mjini humu watu wanashindana na kupambana kuiba ili wajenge mijengo mikali, ndinga kali na miradi kama mahoteli, mashule, ma lodge na mabiashara makubwa.

Sasa ukae kijijini ambako wewe mwenye Rav 4 dume ndio unakuwa role model wao. Hakuna mtu ambaye anaku motivate. Vijiwe ni vilabu vya komoni, ulanzi, choya ambako wenye akili humo wanawaza kuvuna heka 3 na kuongeza wake tu. Kujenga nyumba ya tofali za kuchoma bure kabisa. Very odd thinking ukiwa mtu wa kusikilizia utashangaa umefika 50s huna cha maana zaidi ya kishamba cha mihogo na kijumba cha tofali za kuchoma.
Sawa Tajiri wa Mjini choko Fulani hivi 🤪🤪
 
Uzuri ni kwamba ukiacha wengine wanaajiriwa..

Siku Moja nimeenda site kuoneshwa Ili tuchonge Barabara ni Mwambao mwa Ziwa Tanganyika yaani Kuna Vijiji vingi sana havina Barabara usafiri wao ni maji na Kwa maboti ya kienyeji..

Sasa tukaanza safari ndio ilikuwa mara ya kwanza kusafiri kwenye mi via mitumbwi ya kienyeji no life jacket no nini? Aisee niliogopa nikafikiria mara mbili kwamba hivi hakuna kazi nyingine ya kufanya Hadi hii inayohatarisha maisha yangu?
View attachment 2672563View attachment 2672565
Nikamwambia mwenyeji Wetu mtendaji kata kwamba Mimi kama ndio maisha haya daily naweza acha kazi,akacheka akasema ukixoea utaona kawaida akatutia Moyo wewe yaani hapo mnarushwa Juu na mawimbi harafu unashuka paa yaani kufa Nje Nje..

Hapo ndio nikasema Vijiji vya dizaini hiyo hapana ,Hadi Leo nilisema wakija kusema niende tena ntawajibu Nina kizungu zungu,kusafiri km 40 ndani ya maji sio mchezo.View attachment 2672577
Ni bora ni ishi Town kwa maisha ya kuunga unga lakini napata huduma zote muhimu kuliko kuishi kijijini kwenye mazingira hatarishi kwa mshahara wa 400k.....hata ufanyeje kuishi kijijini akili zitayumba utotofautiana na wenyeji wako hapo ni kulea umasikini na kuua kizazi chako bure kwa kutaka kuonyesha uzalendo uchwara. Mimi kijijini siendi hata unipe mshahara wa 1m haya maisha ni mafupi sanaa.
 
Ni bora ni ishi Town kwa maisha ya kuunga unga lakini napata huduma zote muhimu kuliko kuishi kijijini kwenye mazingira hatarishi kwa mshahara wa 400k.....hata ufanyeje kuishi kijijini akili zitayumba utotofautiana na wenyeji wako hapo ni kulea unasikini na kuua kizazi chako bure kwa kutaka kunyesha uzalendo uchwara. Mimi kijijini siendi hata unipe mshahara wa 1m haya maisha mafupi sanaa.
Mil.1 unaisikia au unaleta mzaha? Ni risk kwa hizo 450k lakini sio Kwa 800k and above maana unakuwa doni wa Kijiji yaani wote wanakuja kwako lazima utoboe.
 
Ajira Mpya msihofu , Serikali inakazana sana kuboresha maisha ya Vijijini Kwa Sasa kuhakikisha Huduma zote zinapatikana..

Hamjasikia siku hizi Kijijini ni kama mjini? Nunua boda yako mambo yaendelee.
 
Back
Top Bottom