Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Unaongea Vijiji vya usiku wewe sio BureKijijini tunalima,tunafuga,tunanunua mazao,tunakopesha hela wenye njaa,tunaweka mashine za kusaga/kukoboa,mpunga,alizeti na pia tunakuwa madalali wa kununua mizigo ya matajiri wa Mjini au connection za mifugo..
Ukiacha hizo tunaonesha Mpira kwenye vibanda umiza,na kuwa wakala japo hii ya uwakala ni hatari Bora hizo zingine.
SawaKama ukioa malaya possible
Vijiji Cha usiku ndio Vijiji gani? Mimi nashinda Vijijini wewe uko mjini Sasa unabisha nini?Unaongea Vijiji vya usiku wewe sio Bure
Dar kama huna mishe ya kueleweka na uhakika ni kupoteza muda ukikaa vibaya unaweza ukawa teja😂😂Hasa ukikaa tabataTena vijiji kama Kahama huko watu wanapesa sana tu! Ila kuna wajinga humu wanawaaminisha kuendelea kukaa Dar huku ukipata hela ya kula na kubanana kwenye daladala na mijasho!
daah aiseee...huyo balaaaKuna mwanetu alipangiwa kufundisha sekondari huko ndani ndani alienda kuripoti halmashauri wakaaanza kupelekwa na landcruiser kila mtu shule anayoenda kufika kwake wanamshusha kwamba wew utafundisha hapa mwamba aligoma kushuka kwenye gari baada ya siku 3 akarudi kitaa kwa Sasa anajiendeshea tipa la mchanga,,vijijini kusikieni tu wajomba
yaah ukiishi kijijinu hakikisha una connection na watu wa mjini ambao mnaweza fanya mambo ya kibiasharaa otherwise hakuna cha maana utafanyaaa... Kijijini yai unalonunua huku mjini 500 kule kila mtu anayooo kafugaaa... hizo nyama za mbuzi huku portion 6000 kijijini umuuzie nani?? mwisho UCHAWI NA WIVU WA MAENDELEO AISEE UNAKUFAA UNAJIONAAA..Huko sijii hata kwasababu gani sijiiii...
Nilikujaga kununua ufuta 2020
Kikajiuliza, ambapo na wewe nakuuliza....
"Hivi watumishi wa huko bondeni nilikonunua ufuta (Chitete, Chilulumo, Mkulwe, Mpapa na Hadi kule chinii kwenye mpunga mwingii) HAYO MAISHA WANAKULA WAPI?""
Ukiajiriwa sehemu kama hizo we ujue CONNECTION YA DUNIA HUNAAAA, Kazi yako itakuwa ni kulima, kufuga huna fursa nyengine.
#YNWA
Duh poleYaani wife wamemtupa huko porini... hapa nawaza ikipita mwaka niweka dau la 5 milllion apatikane mwalimu wa kubadilishana naye... ikishindikina sijui itakuwaje
Huyo alikuwa Hana haja na kazi ngoja apambane na tips yandaah aiseee...huyo balaaa
😀 😀 😀 😀Hatari sana...Huyo alikuwa Hana haja na kazi ngoja apambane na tips yan
Makete nimepiga jaramba pale, japo nilikuwa wilayani ila sina hamu nasitakubali kukaa vijijini tenaHalmashauri za Vijijini ndio Halmashauri gani? Sema kuishi Vijijini sometimes ndio mtihani lakini Ukiwa Wilayani Kuna shida gani Huduma zote zipo..
Binafsi Halmashauri ambazo naziogopa pamoja na kwamba kazi yangu ni lazima nikae Wilayani ila sizipendi kama Makete,Mafia,ukerewe huko,Halmayzote za Kagera kasoro Muleba ,Zote za Mtwara,Manyara,Longido,Monduli,Kigoma yaani Buhigwe huko ni kubaya [emoji23][emoji23]
Tuambiane ukweli kati ya watanzania milioni 61 ni wangapi vijana wamekulia mijini? Pili hivi ni vijana wangapi watapata ajira serikalini? Ni muhimu sana kuwa na hizi extra life skills. Mfano pale ambapo wewe unaona kilimo na ufugaji ni kazi ya kawaida mwenzako anaichukulia kama ni biashara. Huku kijijini nilipo sasa hivi wenye mashamba wanaotaka mijini ni wengi sana. Kuna ambao hawalimi lakini wameleta matrekta au mafuso kufanya kazi.""Kiukweli maisha huko vijijini yanahitaji kuangalia fursa na kuzitumia...""
Hapana, huko hakuna Fursa zaidi ya kulima na kufuga tuuu...
Je kwa kijana aliyekulia mjini hajui na hapendi kulima na kufuga??
#YNWA
kwa ulimemwengu huu wa technology, uniingia online study.Mtumishi aliyeko vijijini huko kujiendeleza labda kulima na kufuga huko ila kwenye mambo ya kitaaluma inakuwa ndio mwisho wako.
Huwezi hata kujiendeleza kitaaluma kupitia evening classes maana hakuna vyuo, colleges wala VETA, vyote hivyo asilimia kubwa vipo vijijini.
Kupata ruhusa kwenda kusoma ni kwa mizengwe mingi maana unakuta watumishi wapo wachache.
Wale madaktari wanaotegemea vijiwe baada ya kazi, ukiwa vijijini kwishaaa.
Wewe ndio Daktari pekee zahanati ya kijijini huko, nani atakupa ruhusa ukasome?
NB: Mjini patabaki kuwa mjini tu.
Didia naikumbuka toka miaka hyo ...kuna shule maarufu ya seminary inaitwa don boscoKuna kijiji kinaitwa Didia, kipo mkoa wa shinyanga, wilaya shinyanga (v), nasikia kijiji kinadevelop sana hicho.
Kwanini umeenda mjini hukubaki huko huko kijijini?Umeongea vizuri mnooo, na hiki ndicho ambacho watu hawakioni au wanajifanya mbuni... Mimi miaka ya nyuma nimefanya kazi vijijini na niliweza kupata mashamba ya kutosha, tena mazuri, mengine yana matunda yanayozaa kama miembe, machungwa, machenza, migomba nk... Nimeuziwa nyumba iliyojengwa mpaka kwenye lenta iliyoko kwenye eneo la heka 3 kwa bei chee na ya kulipa kwa awamu. Leo ukifika hapo kwangu shambani unaweza kudhani mimi nilikuwa tajiri mkubwa kumbe walaaa.... Wanakijiji ukiishi nao vizuri, akiwa na shida atakutafuta ili kama utapenda kununua mali yake akuuzie. Mimi kwa sasa niko mjini, lakini kule kijijini kwenye mji wangu huo nakutegemea mnooo na sijawahi kujuta.
Mkuu wajua source ya utajiri wa hao jamaa, walianzia huko vijijini wakaja mjiniKina Rostam, Dewj, Manji, Nk wanakaa mjini[emoji3][emoji3] huo utajiri wasingeupata wakiwa ndani ndani huko
Nb, japo mie nilibase kwenye mambo ya kitaaluma, sema wachangiaji ndio wamepindua meza
Umewahi kufika kiongozi?Didia naikumbuka toka miaka hyo ...kuna shule maarufu ya seminary inaitwa don bosco
Yaaah abadilishe kituo aje mimi nilipo... hilo litawezekana kweli... nataka niweke kama milioni 3 mpaka 4 kwa ajili ya kazi hiyo ikishindikana basi tenaNilikuwa nimevamia fan uwalimu ni wito. Mimi niliacha. Kama mkeo ana wito mwache afundishe. Unataka utumie nguvu ya pesa kivipi? Abadilishiwe kituo? Kama ni hilo sawa.