Kupangiwa kazi vijijini tayari unakuwa umeuliwa kifikra na kitaaluma

Internet inaleta pia?
 
Mshamba wa Dar atakwambia kijijini kuna Fursa...... fursa ukiwa na hela sio pa kuchomokea
 
Inaonekana wewe ulikuwa mvivu au hukuipenda kazi ya Ualimu.
Vutu unavyolalamikia ulikuwa utaratibu wa kawaida kabisa ila wewe unaona kama vike ulionewa
Ningebaki kule sasa hivi ningekuwa nimezeeka😅😅😅
 

""Niliandika barua ya kwenda masomoni na ndo ukawa mwisho wa ualimu.""
Kwasasa wewe ni nani?

#YNWA
 
Kwani maisha ni taaluma tu huwezi kulima kufanya biashara na nk acha kukariri maisha popote
 
YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…