Kupangiwa kazi vijijini tayari unakuwa umeuliwa kifikra na kitaaluma

Kupangiwa kazi vijijini tayari unakuwa umeuliwa kifikra na kitaaluma

Acheni mindset za kipumbavu kutimiza ndoto zako hakuna limitations ya mazingira kwani hawawezi soma open university au distance learning zingine.
Utajiri wa halali upo vijijini.
Hayo mazao na mifugo si ndio pesa zenyewe ukileta mjini.
Sema huwezi toboa kwa mapato ya rushwa kwa maana rushwa zipo mijini.
 
Niko halmashauri ya vijijini kwa miaka 13 sasa ila nachowaza ni kuhama tu.

Watu wengi wanaoniambiaga "usihame kijijini Kuna fursa" huwa nawajibu "Njoo wewe huku mi nije mjini" naonaga hukaa kimyaa na hawanijibu.

#YNWA
Sasa kop ushakaa 13 years uhame uende wapiiiii
Unataka ukihama uje upost
Hapa ni wapiiiii nauliza hapa ni wapiiiiiii?
 
Kijijini Kila kitu bure kuanzia kuni,maji, chakula unaweza pewa na wanakijiji inategemea na UKARIBU nao, nyumba bure za Serikali au Kodi chini chumba za kisasa hakizidi elf 20,hakuna nauli,mjini mfanyakazi wa chini bila elf 10 ajatoka na kurudi jioni kwake kwa mshahara wa laki 7 wa mjini bila rushwa amalizi mwez wa kijijini mshahara unakutana.
Ulimwengu huu wa internet unakuaje masikini Sasa huku umezungukwa na fursa.
Utakuwa masikini Kama utaki kulink na external world
 
Niko halmashauri ya vijijini kwa miaka 13 sasa ila nachowaza ni kuhama tu.

Watu wengi wanaoniambiaga "usihame kijijini Kuna fursa" huwa nawajibu "Njoo wewe huku mi nije mjini" naonaga hukaa kimyaa na hawanijibu.

#YNWA
Hata mimi nilikua na mawazo ya kuhama kama wewe wakati nipo kijijini.

Baadae nilingundua mawazo ya kuhama yananizuia kujiendeleza na kuwekeza, na pia yanazuia kuziona fursa na kuzitumia.

Mm nilianzia wilayani nikaomba niende kijijini. Huko kwa kweli nilifanikiwa kibiashara kiasi, familia ilinipatia mtaji, na nilibahatika kufanya biashara kutoka Malawi miaka hiyo hasa mbuzi na karanga. Na locally nilikua nanua mpunga kipindi cha mavuno na kuuweka hadi mwisho wa mwaka.

Nilipoondoka, alienipokea alikuja kwa program ya Mkapa foundation, hakuwa na uhakika wa ajira ya kudumu, alikua Msukuma, alianzisha mradi wa ng'ombe wa maziwa, ufugaji kuku, na akatafuta location akaweka pool table. Aliwahi kuniambia hata akikosa ajira, hatohama hapo kijijini.

Kwa sasa nimesikia amewekeza ziwani (ziwa Nyasa) na ana bodaboda kampa kijana, still anapambana, na kwa ujumla anaendelea vyema.

Sometimes it is all about mindsets and priorities.
 
Hata mimi nilikua na mawazo ya kuhama kama wewe wakati nipo kijijini.

Baadae nilingundua mawazo ya kuhama yananizuia kujiendeleza na kuwekeza, na pia yanazuia kuziona fursa na kuzitumia.

Mm nilianzia wilayani nikaomba niende kijijini. Huko kwa kweli nilifanikiwa kibiashara kiasi, familia ilinipatia mtaji, na nilibahatika kufanya biashara kutoka Malawi miaka hiyo hasa mbuzi na karanga. Na locally nilikua nanua mpunga kipindi cha mavuno na kuuweka hadi mwisho wa mwaka.

Nilipoondoka, alienipokea alikuja kwa program ya Mkapa foundation, hakuwa na uhakika wa ajira ya kudumu, alikua Msukuma, alianzisha mradi wa ng'ombe wa maziwa, ufugaji kuku, na akatafuta location akaweka pool table. Aliwahi kuniambia hata akikosa ajira, hatohama hapo kijijini.

Kwa sasa nimesikia amewekeza ziwani (ziwa Nyasa) na ana bodaboda kampa kijana, still anapambana, na kwa ujumla anaendelea vyema.

Sometimes it is all about mindsets and priorities.

Kijiji HAKUNA MAISHA.

#YNWA
 
Mtumishi aliyeko vijijini huko kujiendeleza labda kulima na kufuga huko ila kwenye mambo ya kitaaluma inakuwa ndio mwisho wako.

Huwezi hata kujiendeleza kitaaluma kupitia evening classes maana hakuna vyuo, colleges wala VETA, vyote hivyo asilimia kubwa vipo vijijini.

Kupata ruhusa kwenda kusoma ni kwa mizengwe mingi maana unakuta watumishi wapo wachache.

Wale madaktari wanaotegemea vijiwe baada ya kazi, ukiwa vijijini kwishaaa.

Wewe ndio Daktari pekee zahanati ya kijijini huko, nani atakupa ruhusa ukasome?

NB: Mjini patabaki kuwa mjini tu.
ila asikwambie mtu ukiwa mfanyakazi huko vijijini unatukuzwa vibaya sana unakuta hadi chakula unaletewa na mama nyumba ya jirani anamtuma binti yake
 
Kupangiwa kazi vijijini kunapoteza ndoto za wengi katika hali tofauti tofauti

Masista duu wengi hasa walimu waliokuwa wanawaza kuolewa na washikaji zao wa Dar wenye vibunda, kila wakihangaikia uhamisho serikali inabana umri unaenda wameishia kuolewa na walimu wenzao au wakulima wa vijijini.
 
Kwa wapenda bata vijijini hakuwafai.
Ishu ya internet ni vijiji vichache havina labda vile vidogo ambavyo Serikali haijapeleka uhitaji wa huduma za kijamii sababu hakuna watu, kampuni za simu zinashindana kupeleka minara hata pasipo na umeme wanatumia sola.
Popote penye watu Pana pesa ni wewe kichwan mwako tu hata mjini watumishi wengi wanapigika maisha ni Ile tu kusafisha macho mjini at the end wengi uishia kuwa masikini mbwa baada ya kusataafu
Kwahiyo huku ni kilimoo tuuu
Kwa usiyependa kilimo HAKUNA KITU!?

#YNWA
 
Hata mimi nilikua na mawazo ya kuhama kama wewe wakati nipo kijijini.

Baadae nilingundua mawazo ya kuhama yananizuia kujiendeleza na kuwekeza, na pia yanazuia kuziona fursa na kuzitumia.

Mm nilianzia wilayani nikaomba niende kijijini. Huko kwa kweli nilifanikiwa kibiashara kiasi, familia ilinipatia mtaji, na nilibahatika kufanya biashara kutoka Malawi miaka hiyo hasa mbuzi na karanga. Na locally nilikua nanua mpunga kipindi cha mavuno na kuuweka hadi mwisho wa mwaka.

Nilipoondoka, alienipokea alikuja kwa program ya Mkapa foundation, hakuwa na uhakika wa ajira ya kudumu, alikua Msukuma, alianzisha mradi wa ng'ombe wa maziwa, ufugaji kuku, na akatafuta location akaweka pool table. Aliwahi kuniambia hata akikosa ajira, hatohama hapo kijijini.

Kwa sasa nimesikia amewekeza ziwani (ziwa Nyasa) na ana bodaboda kampa kijana, still anapambana, na kwa ujumla anaendelea vyema.

Sometimes it is all about mindsets and priorities.
Kwahiyo fursa ni kulima tuu na kufuga?

#YNWA
 
Kijijini fursa nyingi sana, hasa kwenye sekta ya ardhi, kilimo, ufugaji (ng'ombe wa maziwa, mbuzi...), usafirishaji, uvuvi (kwa baadhi ya maeneo), maji, na viwanda vidogo (kama kufyatua tofali, kutengeneza makochi, kushona nguo...).

Pia kijijini wana jamii wanakuwa na ushirikiano mkubwa sana kwa wataalamu wa afya, jambo linalokupatia faraja kubwa ambayo ina thamani kubwa isiyoweza kupimwa kwa kipato cha pesa.

Kijijini pia unapata muda wa kuwa karibu na familia yako kama unayo.

Kijijini unaweza kupata nyumba ya serikali bure, au ukapata nyumba nzuri kwa gharama nafuu, hivyo kusave something.

In short kijijini fursa ni nyingi kuliko mjini kwa watu wenye mshahara unaolingana, na kwa mwenye akili inachangamka zaidi nje ya your comfort zone kuliko kudumaa mjini na vijiwe (kufanya fani moja pekee).
Labda huelewei maana ya neno fursa
 
Back
Top Bottom