Kupangiwa kazi vijijini tayari unakuwa umeuliwa kifikra na kitaaluma

Kupangiwa kazi vijijini tayari unakuwa umeuliwa kifikra na kitaaluma

Mtumishi aliyeko vijijini huko kujiendeleza labda kulima na kufuga huko ila kwenye mambo ya kitaaluma inakuwa ndio mwisho wako.

Huwezi hata kujiendeleza kitaaluma kupitia evening classes maana hakuna vyuo, colleges wala VETA, vyote hivyo asilimia kubwa vipo vijijini.

Kupata ruhusa kwenda kusoma ni kwa mizengwe mingi maana unakuta watumishi wapo wachache.

Wale madaktari wanaotegemea vijiwe baada ya kazi, ukiwa vijijini kwishaaa.

Wewe ndio Daktari pekee zahanati ya kijijini huko, nani atakupa ruhusa ukasome?

NB: Mjini patabaki kuwa mjini tu.
Mnatafuta kazi weeeeeee, mkishapata mnaanza kuzidharau, waachieni wenzenu ambao wanazihitaji, nyie mrudi hospitali za private mjini


Ulitaka wa vijijini watibiwe na nani?
 
😁😁😁Sijamaanisha vimji vidogo!
Lkn sehem nyingi miaka hii pana access ya vitu vingi japo ni vijijini unakuta umeme labda upo mbali kidogo lkn watu wana solar majumbani mwao
Labda hujazunguka hii Tz mkuu, ila kuna vijiji ukifika mpaka unajiuliza hawa watu wanaishije??

Miaka ya karibuni umeme umesambaa sana lakini bado kuna maeneo umeme hamna kabisa hata hiyo sola hamna ni mpaka waende kwenye vimji vidogo ambavyo navyo vinakua na kaumbali kama we ni mgeni.
 
Huwa nawaonea huruma sana hasa waalimu wa kike yaani unakuta binti kakulia Dar halafu anakuja kupangiwa kazi kijijini ndani kabisa tena mkoa tofauti unakuta wakazi wa huko hawajui hata kiswahili wanaongea kirugha chao tu, kijiji kizima hakuna hata duka na internet haikamati hata simu yenyewe mtandao unasoma kwa taabu!
Mbaya zaidi hakuna umeme wala maji
Ni mwendo wa kibatari na maji ya kisima tena ya kufuata kijiji cha tatu
Hapo ni mwaka mmoja tu binti wa watu keshazeeka kachooka kama kikongwe wa miaka 90
Unakuta ameshakuwa chakula cha wafugaji[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo ni Tanzania ya 2010s sio 2020s
Mambo yamebadilika tuache kukariri.

Kwa maendeleo ya science na teknolojia Kwa sasa NI maeneo machache Sana tena Sana yenye changamoto hizo,

Uwepo wa simu za kisasa na vyanzo vingi vya umeme imekuwa mkombozi.

Maji ya visima ni Bora Sana hamjajua Tu.

Kuna KIJIJI nilifika nikaambiwa mtandao Una soma E upande wa internet lakini kumbe NI simu zao Tu .. ukiwa na simu yenye uwezo wa 4G Mambo mswano.

Maji nilikuta ni ya kisima lakini ni Safi na yanafaa hata Kwa kunywa
 
Katika dunia ya utandawazi kuishi mahali pasipo na umeme wala mtandao kisa kilimo na nyumba za bure zisizo na umeme ni ufala.

Sitakaa eneo la namna hii tena bora kufa masikini.

Wanasiasa wanakula bata kwenye ma-V8 hawakumbuki wenzao wa vijijini eti kisa hata mbuyu ulianza kama mchicha.

Unaweza kuishia kuwa mchicha kiboya
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo mwishoni..
 
Kuna jamaa kapangiwa kakuta zahanati ipo kwenye lenta hakuna maji hakuna umeme.

Watu hawana malengo wala hawataki kukomaa, wakienda kule hakuna shughuli, network shida, maeneo mengine hakuna umeme wala tv, wanaishia kuwa waraibu wa ngono na pombe
 
Huwa nawaonea huruma sana hasa waalimu wa kike yaani unakuta binti kakulia Dar halafu anakuja kupangiwa kazi kijijini ndani kabisa tena mkoa tofauti unakuta wakazi wa huko hawajui hata kiswahili wanaongea kirugha chao tu, kijiji kizima hakuna hata duka na internet haikamati hata simu yenyewe mtandao unasoma kwa taabu!
Mbaya zaidi hakuna umeme wala maji
Ni mwendo wa kibatari na maji ya kisima tena ya kufuata kijiji cha tatu
Hapo ni mwaka mmoja tu binti wa watu keshazeeka kachooka kama kikongwe wa miaka 90
Unakuta ameshakuwa chakula cha wafugaji[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji28]jmn kama rfk yangu mmoja ivii
 
Yaaan acha tuu namkumbuka dada yangu mwenyewe alikuwaa sista duuu...akaishiaa kuolewaa na mwanakijiji hukoo na ndoto zikaishiaa hapoooo
Huwa nawaonea huruma sana hasa waalimu wa kike yaani unakuta binti kakulia Dar halafu anakuja kupangiwa kazi kijijini ndani kabisa tena mkoa tofauti unakuta wakazi wa huko hawajui hata kiswahili wanaongea kirugha chao tu, kijiji kizima hakuna hata duka na internet haikamati hata simu yenyewe mtandao unasoma kwa taabu!
Mbaya zaidi hakuna umeme wala maji
Ni mwendo wa kibatari na maji ya kisima tena ya kufuata kijiji cha tatu
Hapo ni mwaka mmoja tu binti wa watu keshazeeka kachooka kama kikongwe wa miaka 90
Unakuta ameshakuwa chakula cha wafugaji[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mtumishi aliyeko vijijini huko kujiendeleza labda kulima na kufuga huko ila kwenye mambo ya kitaaluma inakuwa ndio mwisho wako.

Huwezi hata kujiendeleza kitaaluma kupitia evening classes maana hakuna vyuo, colleges wala VETA, vyote hivyo asilimia kubwa vipo vijijini.

Kupata ruhusa kwenda kusoma ni kwa mizengwe mingi maana unakuta watumishi wapo wachache.

Wale madaktari wanaotegemea vijiwe baada ya kazi, ukiwa vijijini kwishaaa.

Wewe ndio Daktari pekee zahanati ya kijijini huko, nani atakupa ruhusa ukasome?

NB: Mjini patabaki kuwa mjini tu.
Umesahau hakuna pisi kali
 
Kupangiwa kazi vijijini kunapoteza ndoto za wengi katika hali tofauti tofauti

Masista duu wengi hasa walimu waliokuwa wanawaza kuolewa na washikaji zao wa Dar wenye vibunda, kila wakihangaikia uhamisho serikali inabana umri unaenda wameishia kuolewa na walimu wenzao au wakulima wa vijijini.
Upo sahihi kbsaa dada yangu ndoto imepoteaa na kaolewa kijijini na alikuwaa sista duuu wa kwendaaa kbsaaaa
 
Back
Top Bottom