Malimi Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,287
- 2,743
Kumbe unapajua vizuri mkuu. Mtoto akifaulu ili aende sekondari anatakiwa atembee kilometa 40 kila siku. Mwanafunzi wa shule ya msingi anatembea kila siku kilometa 16 kwenda kurudi kuifuata shule ( 8 kwenda na 8 kurudi kwa mguu tena anapita porini hakuna hata makazi ya watu)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aisee kule ni hatari saaaana! Wakina Byengerengere
Hata keng* mmoja anakwambia kijijini kuna fursa, p*mb*v*.