Kupangiwa usaili wa mchujo na mahojiano

Kupangiwa usaili wa mchujo na mahojiano

SeniorMaunda

New Member
Joined
Nov 30, 2024
Posts
2
Reaction score
1
Wadau naomba kuuliza hivi unaweza kupangiwa usaili wa mchujo(witten test) halafu usipangiwe usaili wa mahojiano(oral test)?

Maana nimepangiwa usaili wa mchujo pekee lakini sijapangiwa usaili wa mahojiano lakini wenzangu kama watatu hivi wao wamepangiwa mpaka usaili wa oral.

Naombeni msaada mwenye kujua hili
 
Nadhani wanaendelea kufanya update, usisite kuendelea kuchungilia account yako.

Ikiwa hivyo mpaka mwish unawezawasiliana nao.
 
Ukishafanya written ndio itatoa majibu kama utafanya oral au laah
 
Ushapigwa chini, hatua ya kwanza ni written ukifaulu unaitwa hatua ya pili oral!!
Asante kwa kushiriki
 
Chenye utapata humu kwa watu wa JF ni ujuaji na majivuno.
 
Naona kama labda sijaeleweka vizuri.
Mimi dashboard yangu inaonesha nitakuwa na interview za aina 2 yaani written test halafu namalzia na vipimo vya afya.lakini jamaa zangu kama 3 hvi wao dashboard yao inaonesha watakuwa na interview za aina 3 yaani written,vipimo vya afya halafu wanalzia na oral test. Sasa mimi kwenye dashboard yangu haioneshi hiyo oral test
 
Naona kama labda sijaeleweka vizuri.
Mimi dashboard yangu inaonesha nitakuwa na interview za aina 2 yaani written test halafu namalzia na vipimo vya afya.lakini jamaa zangu kama 3 hvi wao dashboard yao inaonesha watakuwa na interview za aina 3 yaani written,vipimo vya afya halafu wanalzia na oral test. Sasa mimi kwenye dashboard yangu haioneshi hiyo oral test
Wapigie cm au wa email
 
Naona kama labda sijaeleweka vizuri.
Mimi dashboard yangu inaonesha nitakuwa na interview za aina 2 yaani written test halafu namalzia na vipimo vya afya.lakini jamaa zangu kama 3 hvi wao dashboard yao inaonesha watakuwa na interview za aina 3 yaani written,vipimo vya afya halafu wanalzia na oral test. Sasa mimi kwenye dashboard yangu haioneshi hiyo oral test
Tuanzie hapa, umeomba kada gani huko Maliasili?
 
Back
Top Bottom