teetotaller
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 307
- 204
kuna point hapa!!Licha ya kupasuka hii kero waiangalie vizuri nyingi zinakuwa fupi fupi watoe ndefu kwa warefu na zile fupi kwa wanaojijuwa wafupi.
Extra large yaani (XL),Medium (M) na small (S)
-yaani ukienda pharmas unasema:
Unayehitaji...nipe durex 2
Mhudumu...size ipi?
Unayehitaji...small,au medium
Sio wanatulazimisha size moja hiyo hiyo wote.
Maana ukivaa inajivuta.
Wadau, naomba tujuzane, hizi salama kondomu mbona ni kama hazina ubora wowote? Yaani hata kabla game halijachanganya zinapasuka,,,aliyepata kadhia ebu tujuzane!
Mdau
Duh!!!hatari sanaSiku hizi wachina wanazitengeneza hata kwenye nyumba za watu za kupanga huko Madale, Tandale, Mbagala, zitakuwa na ubora kweli?