Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,807
- 17,416
Nipo Dar... nakusaidia bure... zero cost.Uko wap mkuu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo Dar... nakusaidia bure... zero cost.Uko wap mkuu,
Mkuu, siyo kila biashara inaweza kwenda properly huko online. Pia siyo wateja wote wanafatuta bidhaa online. FRAME ina umuhim wake sana zaid ya ujuavyo.Hiyo ni wewe tu huko tulisha toka tuko online business interaction yatu sio yakutafuta sehemu sijui
Halafu kuna Bwana Nape anakuja anapandisha bundle anakwambia serikali ipate mapato zaidi. Huwa nakaa natazama hii inchi raia na viongozi wake ni changamoto kubwa sana aisee.Frem kama ni online msongamano wa nini kwanini astengeze store nyumbani kwake.
Wabongo tuna umasiki wa akili we are not thinking properly ndio maana tunatengeza mazingira ya kutwozwa Mala usafi Mala sungusungu uchawi kurushiana majini chuma ulete vitu kibao
Karne hii mtu anapost kitu kama hiki anatafuta sehemu yenye msogamano watu wakati watu wamesongama online
Kwan chakula watu hawauzi huko online au wewe ni mgeni na mambo ya mtandaoni?!Sorry. Mimi sio mfanyabiasha. Ila nadhani ungemuuliza kwanza nature ya biashara yake, kabla ya kumshauri aende online. Usikute labda anawaza kufanya biashara ya chakula?
Basi itakuwa nimeanza kuzeeka. Sikujua kuwa kwa sasa Watanzania wengi wamefikia hatua ya kuagiza chakula mtandaoni.Kwan chakula watu hawauzi huko online au wewe ni mgeni na mambo ya mtandaoni?!
Nahitaji fremu mtaa wa livingstone kwa ajili ya spea za gari.Nipigie kwa 0713 039 875 .Kodi hamna shidaUnabei gani nikutafutie mim
Nahitaji fremu mtaa wa livingstone kwa ajili ya spea za gari.Nipigie kwa 0713 039 875 .Kodi hamna shidaUnapata Mkuu toa dau zuri
Nahitaji fremu mtaa wa livingstone kwa ajili ya spea za gari.Nipigie kwa 0713 039 875 .Kodi hamna shidaFunguka unapotaka
Okay sawaNahitaji fremu mtaa wa livingstone kwa ajili ya spea za gari.Nipigie kwa 0713 039 875 .Kodi hamna shida
Kwani biashara ya chakula haifanyiki online?Sorry. Mimi sio mfanyabiasha. Ila nadhani ungemuuliza kwanza nature ya biashara yake, kabla ya kumshauri aende online. Usikute labda anawaza kufanya biashara ya chakula?
Hizi sio lugha za kibiashara mkuu , kutamka ni kirahis sna ingia sasa.Nenda Tandale zipo
Kwa siku mauzo ukosi 5M
Uza Maji jumla
Wakuu, poleni pia hongereni kwa majukumu.
Hivi ni mimi tu au kuna wengine wanapitia changamoto kama yangu, hii issue ya kukosa frame ya biashara maeneo yenye interaction ya watu?
Bado kuna biashara kama ya vinywaji inahitaji frame.Hiyo ni wewe tu huko tulisha toka tuko online business interaction yatu sio yakutafuta sehemu sijui
Frem kama ni online msongamano wa nini kwanini astengeze store nyumbani kwake.
Wabongo tuna umasiki wa akili we are not thinking properly ndio maana tunatengeza mazingira ya kutwozwa Mala usafi Mala sungusungu uchawi kurushiana majini chuma ulete vitu kibao
Karne hii mtu anapost kitu kama hiki anatafuta sehemu yenye msogamano watu wakati watu wamesongama online
Ukiwa huna hela huwezi pata ila we zisake za kutosha unapata sio frem tu hata nyumba unanunuaWakuu, poleni pia hongereni kwa majukumu.
Hivi ni mimi tu au kuna wengine wanapitia changamoto kama yangu, hii issue ya kukosa frame ya biashara maeneo yenye interaction ya watu?
Wateja wengine ambao nao ni potentia customers Hawana smart phone.Kwani biashara ya chakula haifanyiki online?
Hivi ni Watanzania wangapi wananunua chakula online?Kwani biashara ya chakula haifanyiki on-line
Jamaaa limekalili neno online,. Usikute hata biashara ni dalali anapiga picha bidhaa za watu anazitangaza uko onlineWateja wengine ambao nao ni potentia customers Hawana smart phone.
Kazini kwetu Kuna kijana hamiliki smartphone tokea nimjue ni mwaka sasa.
Huyu utampataje kama sio kutenga location Bora ya kumlenga?
#YNWA