Mzee point yako ya awali hai make sense eti kwamba unaweza ukawa umeenda na barua harafu HR hajui ujio wako are you serious? Ki vip hajui ujio wako ilihali umepata ajira kwa kibali rasmi na bajent yako ipo kwenye ikama ya ajira mpya na sio ya wanao hamia? HR ame request nahitaj mtu wa namna hii Utumishi then sekretarieti inampelekea so unaposema hajui ujio wako sio kweli. Pili yes ulichosema ndio nilichosema mimi kua una report then HR na taasisi hiyo mpya ndio wanakuombea kibali cha kuhamisha check number hicho ndicho nimesema but kusema kipindi chote hicho cha kushughulikia kuhama utakua unaendelea na ajira huko taasisi mpya kama ilivyokua kwako tuseme tu kua issue yako ni unique na huenda ni sababu ya taasisi na taasisi ila kwa mujibu wa sheria na hapa naongea kwa mujibu wa sheria maana tukisema story everyone has a unique story ila now tutakua wote uniform maana now ku ESS huwez enda taasisi mpya ilihali mwajiri wako wa zamani haja approval na kuhamisha mshahara na hawez kuhamisha mshahara had amepata kibali chako cha ajira kua kimehamishiwa taasisi mpya UTUMISHI wameleta System hii ili kuondoa janja janja na kua mambo yote yafanyike kwa mujibu wa sheria. Ukiahama kipindi hiki cha Ess ndo utaelewa ninachokisema maana mifumo yote inasomana kwa sasa. Na hivyo ndio sheria inavyosema so huyo jamaa aende ku report kisha HR wake amuombee kibali kutoka Utumishi na kwa kipindi chote anachosubiri kibali kitoke anaendelea na kazi kituo chake cha zamani hiyo ni kwa mujibu wa sheria la sivyo mwajiri wake akiwa mtata anaweza kumfukuza kwa utoro maana akiondoka atakua amefanya janja janja tu sio kwa utaratibu