Kupata kibali cha Katibu Mkuu Utumishi baada ya kupata barua ya ajira toka sekretariet ya ajira

Kupata kibali cha Katibu Mkuu Utumishi baada ya kupata barua ya ajira toka sekretariet ya ajira

Sidhan kama akili yako inafanya kazi sawa sawa ofisi za umma zipo ili zituhudumie pale tunapopata vikwazo unadhani kwa katibu mkuu nimeenda kunywa kahawa au kupiga soga na pili ujue vikwazo na changamoto zinatifautiana kutoka taasisi moja kwenda nyingine usichukue mazingira yako kama bench mark listen unaweza kuajiliwa sehemu X ukafika ukafanyiww figusu mara tunahitaji mtu haraka na wewe una check number utachelewa sana kutu join so rud tu kazini kwako mimi niliambiwa hivyo na muajiri wangu mpya walikua wanataka daktari kwa haraka na mimi ilipaswa nisubiri miezi 3 had Minne kuhamishwa so wakata wawajulishe ajira portal wawapelekee mtu mwingine nikakiwasha had kwa Ofisi ya Rais Utumishi ndio kupewa maelekezo kua hawapaswi kufanya hivyo nenda kawaambie wakuombee kubali cha kukuhamisha na wakusubiri mpaka uhamie hapo. So toa mentality ya kua unapoenda ofisi za umma unatafuta huruma na Rushwa huo ni ujinga na Argument kama hii kutolewa na msomi ni umbumbuuu. There are logical things and critical in thinking if you can't both then pick the either
Naomba unipigie 0764387340 unieleweshe kitu
 
Nakukosoa wewe unae sema ni kuombewa tu na sio kujiombea wewe ulikua unasema moja tu kwamba ukiajiliwa na taasisi kama ajira mpya HR wa taaisis hiyo ndio akushughulikie na wewe hupaswi kuji shughulikia nikakwambia ikiwa HR asipikupa ushirikiano unaruhusiwa kwa mujibu wa sheria kuomba kibali cha kuhama wewe mwenyewe ukapitia kwa mwajiri wako na ikaenda kwa katibu mkuu. So njia zote mbili zinatumika mimi nilikua nakukatalia kauli yako ya kua eti HR ndio peke ake akuandikie na kua wewe huwezi ku initiate
Kaka king junior nisaidie no.ako unisaidie kitu
 
Mzee point yako ya awali hai make sense eti kwamba unaweza ukawa umeenda na barua harafu HR hajui ujio wako are you serious? Ki vip hajui ujio wako ilihali umepata ajira kwa kibali rasmi na bajent yako ipo kwenye ikama ya ajira mpya na sio ya wanao hamia? HR ame request nahitaj mtu wa namna hii Utumishi then sekretarieti inampelekea so unaposema hajui ujio wako sio kweli. Pili yes ulichosema ndio nilichosema mimi kua una report then HR na taasisi hiyo mpya ndio wanakuombea kibali cha kuhamisha check number hicho ndicho nimesema but kusema kipindi chote hicho cha kushughulikia kuhama utakua unaendelea na ajira huko taasisi mpya kama ilivyokua kwako tuseme tu kua issue yako ni unique na huenda ni sababu ya taasisi na taasisi ila kwa mujibu wa sheria na hapa naongea kwa mujibu wa sheria maana tukisema story everyone has a unique story ila now tutakua wote uniform maana now ku ESS huwez enda taasisi mpya ilihali mwajiri wako wa zamani haja approval na kuhamisha mshahara na hawez kuhamisha mshahara had amepata kibali chako cha ajira kua kimehamishiwa taasisi mpya UTUMISHI wameleta System hii ili kuondoa janja janja na kua mambo yote yafanyike kwa mujibu wa sheria. Ukiahama kipindi hiki cha Ess ndo utaelewa ninachokisema maana mifumo yote inasomana kwa sasa. Na hivyo ndio sheria inavyosema so huyo jamaa aende ku report kisha HR wake amuombee kibali kutoka Utumishi na kwa kipindi chote anachosubiri kibali kitoke anaendelea na kazi kituo chake cha zamani hiyo ni kwa mujibu wa sheria la sivyo mwajiri wake akiwa mtata anaweza kumfukuza kwa utoro maana akiondoka atakua amefanya janja janja tu sio kwa utaratibu
Kaka king junior nisaidie no.ako
 
Back
Top Bottom