Hivi hata huogopi? Kizazi bado kibichi na hakijarudi vizuri sehemu yake, unathubutu kweli...huyo mwanamama nae hamnazo
Kuna njia nyingi za kuridhishana kama umezidiwa hata clinic wanaelezwa,nimewashangaa!!
Mtu bado ana harufu ya kinyenge unamlala,mbali na kupata mimba hairuhusuwi
Subir mpaka amalize angalau 40