Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,308
- 5,272
hapa kazi ipo,mwanamke hatakiwi kuingiliwa kimwili hadi baada ya siku 40 za kujifungua,la mimba sina uhakika,imebidi nirudie mara mbili mbili kusoma kama ni 20 au 200,hizi clinic za kina mama inabidi na kina baba walazimishwe kwenda,kama mambo yenye ndio hivi