DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Nilichogundua na kuona kwa macho sio kila mtu anaweza kuimiliki pesa na ikakaa upande wake .
That way watu wana vipato vikubwa but they still broke .
Nb: Maarifa wanayo watu wachache na hao watu wachache ndo wapo huru
nadhani Kazi ya heshima au kuingiza pesa nyingi bado haiwezi kukufanya kuweza kuimiliki pesa na ikabaki upande wako
That way watu wana vipato vikubwa but they still broke .
Nb: Maarifa wanayo watu wachache na hao watu wachache ndo wapo huru
nadhani Kazi ya heshima au kuingiza pesa nyingi bado haiwezi kukufanya kuweza kuimiliki pesa na ikabaki upande wako