Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Mmmh!!!Nanjilinji Nyangwale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh!!!Nanjilinji Nyangwale.
ndo nchi gani hiyo?Nanjilinji Nyangwale.
Duuh!!!Hata Raynavero ni dadanakaka zetu.
Kila siku au kwa leo tu?
GMT ilikua replaced na UTC tangu 1972!
Inategemeana uko jimbo gani huko USA maana hawana muda Sawa pia. Mfano central ni UTC - 6 hours. Chukua 24 hours minus 6hours. = 18. Central America ni saa 12 asubuhi.
AsanteKwa sasa sayari hizi zinaonekana kila siku.
-Sayari ya Zuhura (Venus) itakuwa angani na upande wa magharibi hadi mwezi wa tisa (Septemba).
-Mshtarii (Jupiter) itasogea hadi upande wa magharibi na kuonekana hadi mwezi wa kumi (Oktoba)
-Zohali (Saturn) nayo inasogea upande wa magharibi siku hadi siku na itaonekana hadi mwezi wa kumi na moja (Novemba)
-Mshtarii (Mars) tutakuwa nayo hadi Juni mwakani ila mn'gao wake utakuwa unafifia siku hadi siku.
This might help ila maeneo yatatofautiana muda kidogo, wa kigoma haweza ona muda sawa na wa Dar au Nairobi.
Naomba ufafanuzi hapa mkuu
Unaonaje?
Nataka nijaribu