Kupatwa kwa snura

Kwa kuwa namba zake za cm ziko hapo juu ya picha ngoja tumpigie tumuulize je!!ile kauli ametengua au alikuwa kitwanga!!
 
Kabisa ila Ben nimemdharau Sana nilkw namuheshimu
Umedharau kwa nini?ulitaka aje kwako?kupenda hakuna cha heshma inakuwa husikii huoni,endelea kumuheshim kama mwanamuziki na binadamu lakin usimdhrau kwa kudendeka na snura,let them be my dear!
 
Huyo sio snura na wala hakuna ben paul hapo.
 
EEEW!!! I hope walipiga mswaki.
 
mbona wajaachiana mate hapo naona midomo hapo pembeni kwa ishara ya kumbatio na busu basi msanii mwenzao alipiga picha nakuitupia mtandaoni au yey mwenyew snura aliamua kufanya kiki
 
Hivi snura anaimba au anachezesha makalio(ashakum si matusi)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…