Kupatwa kwa wachambuzi

hahahahha manara hanaga akili kabisaa
 
Sasa wachambuzi wa nini kusafiri nao? Hii chance wanatakiwa wasafiri waandishi wa habari wa michezo basi.
 
Kuna mchambuzi anaitwa Geoff Lea nimemchukia sana siku za karibuni kwa upuuzi wake. Kimsingi EFM nzima imekosa weledi kwenye ishu ya uchambuzi. Wachambuzi wote pale wanaichukia Yanga na pia hawana maneno ya hekima wanapoongea.
Hupaswi kumchukia mtu bali kosoa hoja yake kwa hoja zako,ukiona unachukia mtu basi ni wazi una tatizo.
 
Geof Lea huwa haogopi kutoa maoni yake hata pale anapoulizwa maswali magumu na huwa ana hoja za msingi. Geof ni mchambuzi bora kabisa wa mpira kwa nchi hii.

Wabongo wanapenda mchambuzi aina ya Ambangile ambae siku zote huwa ana majibu ya kisiasa anapoulizwa kuhusu hizi timu za kariakoo.
 
Tatizo la Geoff Lea ni MOJA tu

Haiwezekani yeye mwenyewe awe mchambuzi wa kila aina ya mchezo

Football yeye
Mieleka yeye
Netball yeye
Volleyball yeye
Basketball yeye
Bongo movie yeye
Boxing yeye

Hamna uchambuzi wa dizain hii ya Geoff Lea ajikite na vitu anavovijua tuu aache u much know
 
Tatizo wengi hawana passport.
 
Umezidisha chumvi, huwa anachambua football, basketball na kidogo ngumi.
 
Multitallented ni kawaida.. will smith ni song writer, rapper, actor of action movies, comedian nk. Na huko kote anafanya vzr.
 
Hupaswi kumchukia mtu bali kosoa hoja yake kwa hoja zako,ukiona unachukia mtu basi ni wazi una tatizo.
Kuna hoja na kuna chuki. Hao wachambuzi maneno yao ni ya chuki sio hoja. Kwa mfano kauli ya Jemedari kudharau kombe la shirikisho hiyo nayo ni hoja?
 
Multitallented ni kawaida.. will smith ni song writer, rapper, actor of action movies, comedian nk. Na huko kote anafanya vzr.
Mkuuu vyote ulivotaja ni vitu vilevile tofauti na michezo kuwa comedian na action movies actor ni just the same but not similar

Hata rapper na song writer ni the same but not similar

Lakin kweny michezo huwezi compare
football na mieleka
Mieleka na netball
Netball na movie
Movie na basketball

Never kuwa competent kwenye hivi vitu KWA ufasaha maybe uwe uelewa kidogo na vingine ukavijua vizuri

Geoff Lea anatupiga sana fix hata kwenye football akae tu kwenye basketball [emoji459]
 
Kuna hoja na kuna chuki. Hao wachambuzi maneno yao ni ya chuki sio hoja. Kwa mfano kauli ya Jemedari kudharau kombe la shirikisho hiyo nayo ni hoja?
Nadhani ni hoja cos manara pia alidharau kombe hilo hilo,kisa simba anacheza,ile unaizungumziaje??
 
Aahahaaaaaa
 
Umeona kijana aliyelewa na Single mother na asiye na makuzi mazuri anakuja na kuanza kumuattack Lemutuz aliyelala mauti bila sababu. Msamehe tu bro.
BRO ACHA KUTUDHALILISHA WATU TULIOLELEWA NA SINGLE MOTHER, KWANZA WENGI WETU TUNAJITAMBUA KULIKO UNAVYOFIKIRIA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…