SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahha manara hanaga akili kabisaaKufuatia Mheshimiwa Rais kutoa ndege ya Bure, Uongozi wa Yanga umempa kazi Manara kuratibu kuhusu wachambuzi watakaokwenda Algeria kwenye mechi ya Yanga na USMA.
Hiki ndicho alichoandika Manara kwenye page zake rasmi
"Mnakwama Wapi Wachambuzi kunipigia Simu? Tatizo ni nini Bando au mnaniona mimi Chinja Chinja?
Mbona mimi fresh tu kwenu?
Nasubiria Simu zenu nifanye Teuzi ndugu zangu, msiniogope bhana, na posho ya safari pia nnazo mimi.
So far ukiacha @oscaroscarjr wa Wasafi na @jr_farhanjr wa Clouds ,Pamoja na @dominicksalamba wa azamtvtz bado sijapokea Simu nyingine, ningetamani na Vituo vingine nao waende.
Piga now Chambuzi, Piga kwa Bugati akupe Exposure ya kuruka na Mwewe, halaf uzuri wa Algeria ina Boda na France, Yaani ukifika kule kama umefika Ulaya tu.
Nb:: Nipo nimekaa pale na Panga langu nasubiria kutahiri without Ganzi, kuku wahed."
Ameambatanisha na picha ifuatayo
Sasa wachambuzi wa nini kusafiri nao? Hii chance wanatakiwa wasafiri waandishi wa habari wa michezo basi.Kufuatia Mheshimiwa Rais kutoa ndege ya Bure, Uongozi wa Yanga umempa kazi Manara kuratibu kuhusu wachambuzi watakaokwenda Algeria kwenye mechi ya Yanga na USMA.
Hiki ndicho alichoandika Manara kwenye page zake rasmi
"Mnakwama Wapi Wachambuzi kunipigia Simu? Tatizo ni nini Bando au mnaniona mimi Chinja Chinja?
Mbona mimi fresh tu kwenu?
Nasubiria Simu zenu nifanye Teuzi ndugu zangu, msiniogope bhana, na posho ya safari pia nnazo mimi.
So far ukiacha @oscaroscarjr wa Wasafi na @jr_farhanjr wa Clouds ,Pamoja na @dominicksalamba wa azamtvtz bado sijapokea Simu nyingine, ningetamani na Vituo vingine nao waende.
Piga now Chambuzi, Piga kwa Bugati akupe Exposure ya kuruka na Mwewe, halaf uzuri wa Algeria ina Boda na France, Yaani ukifika kule kama umefika Ulaya tu.
Nb:: Nipo nimekaa pale na Panga langu nasubiria kutahiri without Ganzi, kuku wahed."
Ameambatanisha na picha ifuatayo
Wachambuzi hawajielewi + waandishi wa Habari wa Michezo hawajitambui....Sasa wachambuzi wa nini kusafiri nao? Hii chance wanatakiwa wasafiri waandishi wa habari wa michezo basi.
Hupaswi kumchukia mtu bali kosoa hoja yake kwa hoja zako,ukiona unachukia mtu basi ni wazi una tatizo.Kuna mchambuzi anaitwa Geoff Lea nimemchukia sana siku za karibuni kwa upuuzi wake. Kimsingi EFM nzima imekosa weledi kwenye ishu ya uchambuzi. Wachambuzi wote pale wanaichukia Yanga na pia hawana maneno ya hekima wanapoongea.
Wandishi wabari kibao na wajua wapo vizuri,hata timu za taifa nyingi sometimes zina safari na waandishi wa habari za michezo na si wachambuzi.Wachambuzi hawajielewi + waandishi wa Habari wa Michezo hawajitambui....
Geof Lea huwa haogopi kutoa maoni yake hata pale anapoulizwa maswali magumu na huwa ana hoja za msingi. Geof ni mchambuzi bora kabisa wa mpira kwa nchi hii.We sema tu imekuuma kwakua ni shabiki wa Yanga
Huyo Geaf Leah anaisifiaga sana Yanga lakini siku akiisema negative mnasema chuki.
Huyo Edo mwenyewe ambaye ni rafiki wa Manara naye analalamika kuitwa chambuzi wa mchongo na mashabiki wa Gongowazi.
Wachambuzi hawawezi kuwa wanafanya kazi kwa malengo ya kuwaridhisha nyinyi (feeding your ego) hiyo ni sawa na kuwa bootylicker
Tatizo la Geoff Lea ni MOJA tuGeof Lea huwa haogopi kutoa maoni yake hata pale anapoulizwa maswali magumu na huwa ana hoja za msingi. Geof ni mchambuzi bora kabisa wa mpira kwa nchi hii.
Wabongo wanapenda mchambuzi aina ya Ambangile ambae siku zote huwa ana majibu ya kisiasa anapoulizwa kuhusu hizi timu za kariakoo.
Tatizo wengi hawana passport.Kufuatia Mheshimiwa Rais kutoa ndege ya Bure, Uongozi wa Yanga umempa kazi Manara kuratibu kuhusu wachambuzi watakaokwenda Algeria kwenye mechi ya Yanga na USMA.
Hiki ndicho alichoandika Manara kwenye page zake rasmi
"Mnakwama Wapi Wachambuzi kunipigia Simu? Tatizo ni nini Bando au mnaniona mimi Chinja Chinja?
Mbona mimi fresh tu kwenu?
Nasubiria Simu zenu nifanye Teuzi ndugu zangu, msiniogope bhana, na posho ya safari pia nnazo mimi.
So far ukiacha @oscaroscarjr wa Wasafi na @jr_farhanjr wa Clouds ,Pamoja na @dominicksalamba wa azamtvtz bado sijapokea Simu nyingine, ningetamani na Vituo vingine nao waende.
Piga now Chambuzi, Piga kwa Bugati akupe Exposure ya kuruka na Mwewe, halaf uzuri wa Algeria ina Boda na France, Yaani ukifika kule kama umefika Ulaya tu.
Nb:: Nipo nimekaa pale na Panga langu nasubiria kutahiri without Ganzi, kuku wahed."
Ameambatanisha na picha ifuatayo
Umezidisha chumvi, huwa anachambua football, basketball na kidogo ngumi.Tatizo la Geoff Lea ni MOJA tu
Haiwezekani yeye mwenyewe awe mchambuzi wa kila aina ya mchezo
Football yeye
Mieleka yeye
Netball yeye
Volleyball yeye
Basketball yeye
Bongo movie yeye
Boxing yeye
Hamna uchambuzi wa dizain hii ya Geoff Lea ajikite na vitu anavovijua tuu aache u much know
Multitallented ni kawaida.. will smith ni song writer, rapper, actor of action movies, comedian nk. Na huko kote anafanya vzr.Tatizo la Geoff Lea ni MOJA tu
Haiwezekani yeye mwenyewe awe mchambuzi wa kila aina ya mchezo
Football yeye
Mieleka yeye
Netball yeye
Volleyball yeye
Basketball yeye
Bongo movie yeye
Boxing yeye
Hamna uchambuzi wa dizain hii ya Geoff Lea ajikite na vitu anavovijua tuu aache u much know
Kuna hoja na kuna chuki. Hao wachambuzi maneno yao ni ya chuki sio hoja. Kwa mfano kauli ya Jemedari kudharau kombe la shirikisho hiyo nayo ni hoja?Hupaswi kumchukia mtu bali kosoa hoja yake kwa hoja zako,ukiona unachukia mtu basi ni wazi una tatizo.
MkuuUmezidisha chumvi, huwa anachambua football, basketball na kidogo ngumi.
Mkuuu vyote ulivotaja ni vitu vilevile tofauti na michezo kuwa comedian na action movies actor ni just the same but not similarMultitallented ni kawaida.. will smith ni song writer, rapper, actor of action movies, comedian nk. Na huko kote anafanya vzr.
Alieanza kudharau hilo kombe ni manara au jemedari?Kuna hoja na kuna chuki. Hao wachambuzi maneno yao ni ya chuki sio hoja. Kwa mfano kauli ya Jemedari kudharau kombe la shirikisho hiyo nayo ni hoja?
Baki na unachoona ni sahihi.Alieanza kudharau hilo kombe ni manara au jemedari?
Nadhani ni hoja cos manara pia alidharau kombe hilo hilo,kisa simba anacheza,ile unaizungumziaje??Kuna hoja na kuna chuki. Hao wachambuzi maneno yao ni ya chuki sio hoja. Kwa mfano kauli ya Jemedari kudharau kombe la shirikisho hiyo nayo ni hoja?
AahahaaaaaaKufuatia Mheshimiwa Rais kutoa ndege ya Bure, Uongozi wa Yanga umempa kazi Manara kuratibu kuhusu wachambuzi watakaokwenda Algeria kwenye mechi ya Yanga na USMA.
Hiki ndicho alichoandika Manara kwenye page zake rasmi
"Mnakwama Wapi Wachambuzi kunipigia Simu? Tatizo ni nini Bando au mnaniona mimi Chinja Chinja?
Mbona mimi fresh tu kwenu?
Nasubiria Simu zenu nifanye Teuzi ndugu zangu, msiniogope bhana, na posho ya safari pia nnazo mimi.
So far ukiacha @oscaroscarjr wa Wasafi na @jr_farhanjr wa Clouds ,Pamoja na @dominicksalamba wa azamtvtz bado sijapokea Simu nyingine, ningetamani na Vituo vingine nao waende.
Piga now Chambuzi, Piga kwa Bugati akupe Exposure ya kuruka na Mwewe, halaf uzuri wa Algeria ina Boda na France, Yaani ukifika kule kama umefika Ulaya tu.
Nb:: Nipo nimekaa pale na Panga langu nasubiria kutahiri without Ganzi, kuku wahed."
Ameambatanisha na picha ifuatayo
BRO ACHA KUTUDHALILISHA WATU TULIOLELEWA NA SINGLE MOTHER, KWANZA WENGI WETU TUNAJITAMBUA KULIKO UNAVYOFIKIRIA.Umeona kijana aliyelewa na Single mother na asiye na makuzi mazuri anakuja na kuanza kumuattack Lemutuz aliyelala mauti bila sababu. Msamehe tu bro.