Kupeleka chakula kwa mwenzako wakati wewe una njaa ni wema au unafiki?

Kupeleka chakula kwa mwenzako wakati wewe una njaa ni wema au unafiki?

Kusaidiana kupo na ni vizuri ukamsaidia jirani yako apatapo shida. Kama baba/mama mwenye nyumba utaonekana kituko kusaidia jirani wakati ndani kwako hakuna chakula cha kutosha kushibisha wanao
 
Je maishani mwako umewahi kumchangia au kumsaidia yoyote mwenye uhitaji au asiyejiweza?

Kama jibu ni ndio

Je wakati huo wewe hukuwa na matatizo au shida yoyote kiasi cha kuhitaji hiyo hela utatulie?
Mimi sina tatizo na kuchangia masikini.

Ila kuchangia wakati watoto wako wanakalia mawe madarasani (kwa kukosa madawati) na kuwafanya wafeli na pengine kuharibu maisha yao yote; nafikiri tunatakiwa tuliangalie vizuri.
 
Back
Top Bottom