Kupeleka majeruhi USA, Jambo JEMA sana lakini...

Kupeleka majeruhi USA, Jambo JEMA sana lakini...

Samahani kuuliza si ujinga hizo gharama za wao kutibiwa Hao watoto marekani umesikia zinalipwa Na serikali au Mama yako kiasi kuwa uone ni upotezaji pesa za familia au walipa kodi wa Tanzania? Mwenyezi Mungu nisaidie kuna mitusi Ya nguoni inahemuka kifuani nisaidie nisije mporomoshea mtu yeyote humu jamii forums. Nisadie Mwenyezi Mungu
Ha haaa haaa wana ccm bana... eti mitusi... kwani kuna asiye jua kutukana mkuu.... ustaarabu tu utawale....
 
Kuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema zake na Upendo usio kifani. Ameruhusu lililotokea litokee.

Inafurahisha pia kuona jitihada za kunusuru maisha ya majeruhi watatu (sijui ni jitihada za nani lakini hilo si muhimu); lakini nina maswali mengi kichwani na si hitaji majibu kwa yote bali kwa kililo/yaliyo makuu. Nayo ni:

1. Kwa nini wapelekwe USA na kwingineko ambako kunaweza kuwa cheaper?

2. Hivi ni kweli kuwa majeruhi hawa wasingeweza kutibiwa hapa hapa kwetu au Kenya kwa majirani zetu?

3. Je, yawezekana ni kweli kuwa hadi leo Tanzania na nchi majirani hazina uwezo kabisa wa ku deal na serious cases kama hizi (yaani kama hizi serious xases)?

4. Je, yawezekana huu ni uwekezaji mkubwa kwenye siasa za 2020?

Mpango huu ubaweza kuwa na maswali mengi bila majibu ya kutosha lakini jitihada hizi ni za kupongezwa sana; yote katika yote, hawa watoto wanahitaji medical attention iliyo makini sana na tuwatakie safari njema na hatimaye siku moja hali zao zitakapokuwa zimeimarika zaidi Mungu awarudishe salama nyumbani.


Sengerema pia kuna hospitali kubwa ya mission
 
Samahani kuuliza si ujinga hizo gharama za wao kutibiwa Hao watoto marekani umesikia zinalipwa Na serikali au Mama yako kiasi kuwa uone ni upotezaji pesa za familia au walipa kodi wa Tanzania? Mwenyezi Mungu nisaidie kuna mitusi Ya nguoni inahemuka kifuani nisaidie nisije mporomoshea mtu yeyote humu jamii forums. Nisadie Mwenyezi Mungu
Pole sana kwa maumivu uliyoyapata mpaka kuamua kurusha matusi. Kama ungesoma uzi vizuri ungekuwa na lugha ya kistaarabu zaidi.
 
Samahani kuuliza si ujinga hizo gharama za wao kutibiwa Hao watoto marekani umesikia zinalipwa Na serikali au Mama yako kiasi kuwa uone ni upotezaji pesa za familia au walipa kodi wa Tanzania? Mwenyezi Mungu nisaidie kuna mitusi Ya nguoni inahemuka kifuani nisaidie nisije mporomoshea mtu yeyote humu jamii forums. Nisadie Mwenyezi Mungu
Kama kuna matusi yamekuijia ukayabana kifuani ujue tayari ushatukana katika ulimwengu wa roho.

Kwanini ufikirie kumtukana mtu ama kumfanyia ubaya ilihali tumeambiwa tuwasamehe wakosaji wetu?

Unakasirika nini? Jua kuwa hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.
 
Kuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema zake na Upendo usio kifani. Ameruhusu lililotokea litokee.

Inafurahisha pia kuona jitihada za kunusuru maisha ya majeruhi watatu (sijui ni jitihada za nani lakini hilo si muhimu); lakini nina maswali mengi kichwani na si hitaji majibu kwa yote bali kwa kililo/yaliyo makuu. Nayo ni:

1. Kwa nini wapelekwe USA na kwingineko ambako kunaweza kuwa cheaper?

2. Hivi ni kweli kuwa majeruhi hawa wasingeweza kutibiwa hapa hapa kwetu au Kenya kwa majirani zetu?

3. Je, yawezekana ni kweli kuwa hadi leo Tanzania na nchi majirani hazina uwezo kabisa wa ku deal na serious cases kama hizi (yaani kama hizi serious xases)?

4. Je, yawezekana huu ni uwekezaji mkubwa kwenye siasa za 2020?

Mpango huu ubaweza kuwa na maswali mengi bila majibu ya kutosha lakini jitihada hizi ni za kupongezwa sana; yote katika yote, hawa watoto wanahitaji medical attention iliyo makini sana na tuwatakie safari njema na hatimaye siku moja hali zao zitakapokuwa zimeimarika zaidi Mungu awarudishe salama nyumbani.


Inatosha kumshukuru Mungu kwa kuwanusuru hao watatu, huu sio wakati wa siasa bali kuwashukuru wote waliofanikisha safari hiyo bila kujali gharama au wapi wamepelekwa ili mradi watoto wetu wapate tiba stahiki na kurejea nyumbani Mungu akipenda
 
1494767378837.jpg
1494767413185.jpg
 
Kwa hisani ya watu wa marekani. Ni vyema kwa kuwa watapata matibabu ya kisasa zaidi.
 
Inasemekana wamepelekwa marekani kwa msaada wa wazungu au wamarekani wenyewe. Ni wazungu waliowahi kufika eneo la tukio watoto walipopata ajali, ndo wametafuta msaada na kuwapeleka watoto marekani. Nadhani unauliza hayo maswali kwa kudhani serikali ndo imegharamia.
Nafikiri mleta hoja anahusisha mambo na uchawi kwenye thiatha ya 2020
 
Inasemekana wamepelekwa marekani kwa msaada wa wazungu au wamarekani wenyewe. Ni wazungu waliowahi kufika eneo la tukio watoto walipopata ajali, ndo wametafuta msaada na kuwapeleka watoto marekani. Nadhani unauliza hayo maswali kwa kudhani serikali ndo imegharamia.
Hahahaha kupurukuka katika high level! hahahaha
 
Kuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema zake na Upendo usio kifani. Ameruhusu lililotokea litokee.

Inafurahisha pia kuona jitihada za kunusuru maisha ya majeruhi watatu (sijui ni jitihada za nani lakini hilo si muhimu); lakini nina maswali mengi kichwani na si hitaji majibu kwa yote bali kwa kililo/yaliyo makuu. Nayo ni:

1. Kwa nini wapelekwe USA na kwingineko ambako kunaweza kuwa cheaper?

2. Hivi ni kweli kuwa majeruhi hawa wasingeweza kutibiwa hapa hapa kwetu au Kenya kwa majirani zetu?

3. Je, yawezekana ni kweli kuwa hadi leo Tanzania na nchi majirani hazina uwezo kabisa wa ku deal na serious cases kama hizi (yaani kama hizi serious xases)?

4. Je, yawezekana huu ni uwekezaji mkubwa kwenye siasa za 2020?

Mpango huu ubaweza kuwa na maswali mengi bila majibu ya kutosha lakini jitihada hizi ni za kupongezwa sana; yote katika yote, hawa watoto wanahitaji medical attention iliyo makini sana na tuwatakie safari njema na hatimaye siku moja hali zao zitakapokuwa zimeimarika zaidi Mungu awarudishe salama nyumbani.
Wewe unaweza kuwa Hata mchawi samahani sana kwa personal attack but imenibidi nisema haya kwa mara ya kwanza toka nijiunge na JF 2007,kwasababu ya kudadisi na kuto support majeruhi Watoto malaika wale kupelekwa Marekani kwa matibabu zaidi.

Watalii wamarekani wameshiriki ktk uokozi eneo la Tuko ambalo kwao may be ni tukio baya sana ktk historia ya maisha kukuona kiasi cha kuacha yote yaliyokuwa mbele yao na kuanza kushughulika na majeruhi tu na hatimaye kupanga kuondoka nao kwa matibabu zaidi.

Wale Watoto majeruhi Pamoja na kuwa stable ktk vitals lakini wana multiple fractures ktk maeneo ambayo ni magumu ktk Huduma zake hapa nchini mfano fractures za maxilla na mandible ni very complex, fractures za pelvic na bilateral femur bones ni shida sana.

Kati hayo niliyoyata mengine yanaweza kutibika nchini na mengine inaweza kuwa changamoto ktk tiba yake kutokana na vifaa.

Pamoja na maboresho ya Huduma ya afya lakini bado hatujafikia viwango vya juu kabisa kama wenzetu wa Nje.

Gharama zote ziko juu ya hao wafadhili waliojitokeza kuwasaidia Hata kama Serikali nayo ilikuwa na mipango yake kuhusu Huduma za majeruhi Nje ya nchi.
 
Kwa hisani ya watu wa marekani. Ni vyema kwa kuwa watapata matibabu ya kisasa zaidi.
Kwa kweli! Hawa watu kwa matibabu, sikia tu! Ninashuhuda za kutisha juu ya matibabu ya hawa watu yaani wako mbali mbali mno! Ni vitu ambavyo wewe mwenyewe you cannot imagine! Watoto wetu wako kwenye mikono ya kuaminika kwa kweli na watapona kabisa! Believe me on that!
 
Najua wengi wamejibu hilo huko juu, ngoja nami nisisitize. Mkuu hao watoto kwenda USA ni msaada kutoka kwa kundi la madaktari walioguswa na tukio hilo ambao walikatisha ratiba yao (wao walitokea marekani) kuwahudumia majeruhi na waliofariki katika ajali ile maana nao walikuwa maeneo ya karatu wakati tukio linatokea.
 
Kuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema zake na Upendo usio kifani. Ameruhusu lililotokea litokee.

Inafurahisha pia kuona jitihada za kunusuru maisha ya majeruhi watatu (sijui ni jitihada za nani lakini hilo si muhimu); lakini nina maswali mengi kichwani na si hitaji majibu kwa yote bali kwa kililo/yaliyo makuu. Nayo ni:

1. Kwa nini wapelekwe USA na kwingineko ambako kunaweza kuwa cheaper?

2. Hivi ni kweli kuwa majeruhi hawa wasingeweza kutibiwa hapa hapa kwetu au Kenya kwa majirani zetu?

3. Je, yawezekana ni kweli kuwa hadi leo Tanzania na nchi majirani hazina uwezo kabisa wa ku deal na serious cases kama hizi (yaani kama hizi serious xases)?

4. Je, yawezekana huu ni uwekezaji mkubwa kwenye siasa za 2020?

Mpango huu ubaweza kuwa na maswali mengi bila majibu ya kutosha lakini jitihada hizi ni za kupongezwa sana; yote katika yote, hawa watoto wanahitaji medical attention iliyo makini sana na tuwatakie safari njema na hatimaye siku moja hali zao zitakapokuwa zimeimarika zaidi Mungu awarudishe salama nyumbani.
kuna mambo yanakera aiseee...hv ww mleta mada una akili kweli???

watt wako mahututi wanaenda kutibiwa ww unalalamika gharama kweli????

unataka waende kenya sijui hv wao wametuzd kiasi hicho kweli

maisha ya watu unaingiza na siasa???so watt wasitibiwe kisa 2020??

hv ungekua na mtt wako kati ya wale watatu ungepost huu utumbo???

unataka kufananisha expertise wa USA na Tz aiseee

kuna maisha nje ya siasa...mm nashukuru watt wanaenda kupatiwa msaada zaidi kwa madaktar bingwa coz mm angekuepo mwanangu ningeuza hata nyumba yangu kumtafutia matibabu bora maisha yana thamani kuliko kitu chochote mali zitatafutwa hata kama zikipotea bt sio maisha

Yyte aliefanikisha hili abarikiwe kama ni serikali au hao wazungu wamejitolea wenyewe
 
Kuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema zake na Upendo usio kifani. Ameruhusu lililotokea litokee.

Inafurahisha pia kuona jitihada za kunusuru maisha ya majeruhi watatu (sijui ni jitihada za nani lakini hilo si muhimu); lakini nina maswali mengi kichwani na si hitaji majibu kwa yote bali kwa kililo/yaliyo makuu. Nayo ni:

1. Kwa nini wapelekwe USA na kwingineko ambako kunaweza kuwa cheaper?

2. Hivi ni kweli kuwa majeruhi hawa wasingeweza kutibiwa hapa hapa kwetu au Kenya kwa majirani zetu?

3. Je, yawezekana ni kweli kuwa hadi leo Tanzania na nchi majirani hazina uwezo kabisa wa ku deal na serious cases kama hizi (yaani kama hizi serious xases)?

4. Je, yawezekana huu ni uwekezaji mkubwa kwenye siasa za 2020?

Mpango huu ubaweza kuwa na maswali mengi bila majibu ya kutosha lakini jitihada hizi ni za kupongezwa sana; yote katika yote, hawa watoto wanahitaji medical attention iliyo makini sana na tuwatakie safari njema na hatimaye siku moja hali zao zitakapokuwa zimeimarika zaidi Mungu awarudishe salama nyumbani.
Mkuu serikali haijatoa hata thumni zaidi tu imekula ile rambirambi
 
kwnye zile pcha kuna wazungu mliwaona pale kwnye juhud za uokoaji, sasa wale ndo wamesimamia shoo nzima na shirika

ila katika maelezo nilioyaona wanasema pia watu wanaeza kuchangia, sasa najiuliza, watu wachangie kwa ajili ya nini kama wale wamarekani walisema watasimamia mipango yote na watawatibu bure kabisa muda wote watakapoitaj matibabu wakiwa marekani


stemm.PNG
 
Kuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema zake na Upendo usio kifani. Ameruhusu lililotokea litokee.

Inafurahisha pia kuona jitihada za kunusuru maisha ya majeruhi watatu (sijui ni jitihada za nani lakini hilo si muhimu); lakini nina maswali mengi kichwani na si hitaji majibu kwa yote bali kwa kililo/yaliyo makuu. Nayo ni:

1. Kwa nini wapelekwe USA na kwingineko ambako kunaweza kuwa cheaper?

2. Hivi ni kweli kuwa majeruhi hawa wasingeweza kutibiwa hapa hapa kwetu au Kenya kwa majirani zetu?

3. Je, yawezekana ni kweli kuwa hadi leo Tanzania na nchi majirani hazina uwezo kabisa wa ku deal na serious cases kama hizi (yaani kama hizi serious xases)?

4. Je, yawezekana huu ni uwekezaji mkubwa kwenye siasa za 2020?

Mpango huu ubaweza kuwa na maswali mengi bila majibu ya kutosha lakini jitihada hizi ni za kupongezwa sana; yote katika yote, hawa watoto wanahitaji medical attention iliyo makini sana na tuwatakie safari njema na hatimaye siku moja hali zao zitakapokuwa zimeimarika zaidi Mungu awarudishe salama nyumbani.
Acheni ujinga.
 
Back
Top Bottom