Kupeleka majeruhi USA, Jambo JEMA sana lakini...

Kupeleka majeruhi USA, Jambo JEMA sana lakini...

Kuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema zake na Upendo usio kifani. Ameruhusu lililotokea litokee.

Inafurahisha pia kuona jitihada za kunusuru maisha ya majeruhi watatu (sijui ni jitihada za nani lakini hilo si muhimu); lakini nina maswali mengi kichwani na si hitaji majibu kwa yote bali kwa kililo/yaliyo makuu. Nayo ni:

1. Kwa nini wapelekwe USA na kwingineko ambako kunaweza kuwa cheaper?

2. Hivi ni kweli kuwa majeruhi hawa wasingeweza kutibiwa hapa hapa kwetu au Kenya kwa majirani zetu?

3. Je, yawezekana ni kweli kuwa hadi leo Tanzania na nchi majirani hazina uwezo kabisa wa ku deal na serious cases kama hizi (yaani kama hizi serious xases)?

4. Je, yawezekana huu ni uwekezaji mkubwa kwenye siasa za 2020?

Mpango huu ubaweza kuwa na maswali mengi bila majibu ya kutosha lakini jitihada hizi ni za kupongezwa sana; yote katika yote, hawa watoto wanahitaji medical attention iliyo makini sana na tuwatakie safari njema na hatimaye siku moja hali zao zitakapokuwa zimeimarika zaidi Mungu awarudishe salama nyumbani.
Acha roho mbaya,waache watoto wakapate matibabu bora kabisa duniani,au unataka wawe walemavu ili kesho ulaumu serikali ya ccm kuwa haikufanya juhudi za kuwapa matibabu bora.
 
Kama kuna matusi yamekuijia ukayabana kifuani ujue tayari ushatukana katika ulimwengu wa roho.

Kwanini ufikirie kumtukana mtu ama kumfanyia ubaya ilihali tumeambiwa tuwasamehe wakosaji wetu?

Unakasirika nini? Jua kuwa hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.
yapasa kumpa shukrani Mungu hata kwa madogo mimi nashukuru mungu matusi Ya nguoni niliyokuwa nayo Ya kumtukana mleta mada sijayatoa kwangu sio jambo dogo huyu mleta mada ningemporomoshea mitusi ya nguoni asingelala. Mungu kanipa uvumilivu
 
Fanya tafiti kabla hujaanzisha uzi,

Hao wazungu waliowapeleka huko USA ni mashuhuda waliofika eneo la tukio punde baada ya ajali kutokea ndiyo wakaguswa kuwasaidia wahanga waliobaki hai.
ccm kiboko mbona Nyalandu anaiweka kama yeye ndio amefanya hiyo connection? Halafu kibaya zaidi gambo ndio anaiweka kama serikali imefanya la zoezi zima? Wonders shall never end!
 
Wale zaungu ndo wamewapeleka kwenye hospital wanayofanyia kazi huko America ,hili ni jambo jema maana hawa watoto wanaitaji maeneo tofauti ili wameze kuondokana na psychological effect ambao wame experience
 
Mimi navyofahamu, ni Serikiali ndio inagharamia kila kitu, kama ambavyo ilifanya kule Kagera wakati wa tetemeko japo haikulileta hilo tetemeko.
 
ccm kiboko mbona Nyalandu anaiweka kama yeye ndio amefanya hiyo connection? Halafu kibaya zaidi gambo ndio anaiweka kama serikali imefanya la zoezi zima? Wonders shall never end!
Nyalandu ndio aliwaleta hao wazungu hawajaletwa Na ukawa au yule mropokaji god bless lema aliyetapeli wamarekani eti kuna hospital ya Mama Na mtoto inajengwa jimbo Lake hadi leo hii pori kala pesa Za wamarekani hamna cha hospital wala nini pori tu hadi leo .Tapeli mkubwa hati ya kiwanja kaandika Jina la mkewe Kwa nini asiandike kwa jina la manispaa au hata la Chadema? Tujue ni mali Ya umma si binafsi
 
Inasemekana wamepelekwa marekani kwa msaada wa wazungu au wamarekani wenyewe. Ni wazungu waliowahi kufika eneo la tukio watoto walipopata ajali, ndo wametafuta msaada na kuwapeleka watoto marekani. Nadhani unauliza hayo maswali kwa kudhani serikali ndo imegharamia.
Wkt rambirambi tu wanatolea macho
 
Kuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema zake na Upendo usio kifani. Ameruhusu lililotokea litokee.

Inafurahisha pia kuona jitihada za kunusuru maisha ya majeruhi watatu (sijui ni jitihada za nani lakini hilo si muhimu); lakini nina maswali mengi kichwani na si hitaji majibu kwa yote bali kwa kililo/yaliyo makuu. Nayo ni:

1. Kwa nini wapelekwe USA na kwingineko ambako kunaweza kuwa cheaper?

2. Hivi ni kweli kuwa majeruhi hawa wasingeweza kutibiwa hapa hapa kwetu au Kenya kwa majirani zetu?

3. Je, yawezekana ni kweli kuwa hadi leo Tanzania na nchi majirani hazina uwezo kabisa wa ku deal na serious cases kama hizi (yaani kama hizi serious xases)?

4. Je, yawezekana huu ni uwekezaji mkubwa kwenye siasa za 2020?

Mpango huu ubaweza kuwa na maswali mengi bila majibu ya kutosha lakini jitihada hizi ni za kupongezwa sana; yote katika yote, hawa watoto wanahitaji medical attention iliyo makini sana na tuwatakie safari njema na hatimaye siku moja hali zao zitakapokuwa zimeimarika zaidi Mungu awarudishe salama nyumbani.

wachawi bana


wale wazungu walioshuhudia ajali ndio wamefanya yote haya
 
Kuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema zake na Upendo usio kifani. Ameruhusu lililotokea litokee.

Inafurahisha pia kuona jitihada za kunusuru maisha ya majeruhi watatu (sijui ni jitihada za nani lakini hilo si muhimu); lakini nina maswali mengi kichwani na si hitaji majibu kwa yote bali kwa kililo/yaliyo makuu. Nayo ni:

1. Kwa nini wapelekwe USA na kwingineko ambako kunaweza kuwa cheaper?

2. Hivi ni kweli kuwa majeruhi hawa wasingeweza kutibiwa hapa hapa kwetu au Kenya kwa majirani zetu?

3. Je, yawezekana ni kweli kuwa hadi leo Tanzania na nchi majirani hazina uwezo kabisa wa ku deal na serious cases kama hizi (yaani kama hizi serious xases)?

4. Je, yawezekana huu ni uwekezaji mkubwa kwenye siasa za 2020?

Mpango huu ubaweza kuwa na maswali mengi bila majibu ya kutosha lakini jitihada hizi ni za kupongezwa sana; yote katika yote, hawa watoto wanahitaji medical attention iliyo makini sana na tuwatakie safari njema na hatimaye siku moja hali zao zitakapokuwa zimeimarika zaidi Mungu awarudishe salama nyumbani.
Hii ni fursa tu iliyojitokeza, vinginevyo wangeweza kutibiwa hata muhimbili. Maswali yako mengine hayana maantiki sababu huu ni msaada tu toka kwa hao good samaritans na maswali yako yasingekuwepo leo kama ungetafiti kwanza kujua nani anagharimia safari nzima ya tiba ya hawa watoto majeruhi huko USA japokuwa mwenyewe umetangulia kusema kuwa hilo sio la muhimu.
 
Kuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema zake na Upendo usio kifani. Ameruhusu lililotokea litokee.

Inafurahisha pia kuona jitihada za kunusuru maisha ya majeruhi watatu (sijui ni jitihada za nani lakini hilo si muhimu); lakini nina maswali mengi kichwani na si hitaji majibu kwa yote bali kwa kililo/yaliyo makuu. Nayo ni:

1. Kwa nini wapelekwe USA na kwingineko ambako kunaweza kuwa cheaper?

2. Hivi ni kweli kuwa majeruhi hawa wasingeweza kutibiwa hapa hapa kwetu au Kenya kwa majirani zetu?

3. Je, yawezekana ni kweli kuwa hadi leo Tanzania na nchi majirani hazina uwezo kabisa wa ku deal na serious cases kama hizi (yaani kama hizi serious xases)?

4. Je, yawezekana huu ni uwekezaji mkubwa kwenye siasa za 2020?

Mpango huu ubaweza kuwa na maswali mengi bila majibu ya kutosha lakini jitihada hizi ni za kupongezwa sana; yote katika yote, hawa watoto wanahitaji medical attention iliyo makini sana na tuwatakie safari njema na hatimaye siku moja hali zao zitakapokuwa zimeimarika zaidi Mungu awarudishe salama nyumbani.
Ndugu hivi unaelewa kidogo juu ya biology hasa mfumo wa neva za fahamu, (neuro' surgery) hawa machalii wanatakiwa kufanyiwa upasuaji mkubwa mno katika maeneo mbalimbali ya miili yao ikiwemo mgogo unaohusisha mfumo wa fahamu, walivunjika vibaya mno, kwa africa sina uhakika km kuna specialists wenye ujuzi mkubwa na technolojia ya kuwahudumia kwa kiwango cha kupona kabisa na kurudia hali yao ya kawaida.

Leteni kejeli ila kwa hili hawa wazungu ni wakupongeza aisei.
 
Kuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema zake na Upendo usio kifani. Ameruhusu lililotokea litokee.

Inafurahisha pia kuona jitihada za kunusuru maisha ya majeruhi watatu (sijui ni jitihada za nani lakini hilo si muhimu); lakini nina maswali mengi kichwani na si hitaji majibu kwa yote bali kwa kililo/yaliyo makuu. Nayo ni:

1. Kwa nini wapelekwe USA na kwingineko ambako kunaweza kuwa cheaper?

2. Hivi ni kweli kuwa majeruhi hawa wasingeweza kutibiwa hapa hapa kwetu au Kenya kwa majirani zetu?

3. Je, yawezekana ni kweli kuwa hadi leo Tanzania na nchi majirani hazina uwezo kabisa wa ku deal na serious cases kama hizi (yaani kama hizi serious xases)?

4. Je, yawezekana huu ni uwekezaji mkubwa kwenye siasa za 2020?

Mpango huu ubaweza kuwa na maswali mengi bila majibu ya kutosha lakini jitihada hizi ni za kupongezwa sana; yote katika yote, hawa watoto wanahitaji medical attention iliyo makini sana na tuwatakie safari njema na hatimaye siku moja hali zao zitakapokuwa zimeimarika zaidi Mungu awarudishe salama nyumbani.
Mpumbavu mkubwa wee!! Kuna matibabu hapa!!!!
 
Kuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema zake na Upendo usio kifani. Ameruhusu lililotokea litokee.

Inafurahisha pia kuona jitihada za kunusuru maisha ya majeruhi watatu (sijui ni jitihada za nani lakini hilo si muhimu); lakini nina maswali mengi kichwani na si hitaji majibu kwa yote bali kwa kililo/yaliyo makuu. Nayo ni:

1. Kwa nini wapelekwe USA na kwingineko ambako kunaweza kuwa cheaper?

2. Hivi ni kweli kuwa majeruhi hawa wasingeweza kutibiwa hapa hapa kwetu au Kenya kwa majirani zetu?

3. Je, yawezekana ni kweli kuwa hadi leo Tanzania na nchi majirani hazina uwezo kabisa wa ku deal na serious cases kama hizi (yaani kama hizi serious xases)?

4. Je, yawezekana huu ni uwekezaji mkubwa kwenye siasa za 2020?

Mpango huu ubaweza kuwa na maswali mengi bila majibu ya kutosha lakini jitihada hizi ni za kupongezwa sana; yote katika yote, hawa watoto wanahitaji medical attention iliyo makini sana na tuwatakie safari njema na hatimaye siku moja hali zao zitakapokuwa zimeimarika zaidi Mungu awarudishe salama nyumbani.
Mpumbavu mkubwa wee!! Kuna matibabu hapa!!!!
Unataka wafe ndiyo uamini!!!
 
Ni kiki za siasa tu.Napata ujumbe ufuatao kwenye hii safari ya Marekani
1.Wanasiasa ni kila kitu yani hata udaktari wanaweza na ndio mana wameamua wao watoto wakatibiwe Marekani
2.Wanasiasa hawaamini utaalamu wa afya unaokua practised Tamzania na ndio mana haikua kwenye akili zao kujaribu kuwatibu hapa kwetu
3.Siasa ni ujinga na ndio maana ajali imetokea siku nyingi majeruhi wanapelekwa hospitali siku nyingi baadae kupelekea tukio zima kubeba dhana ya kiki kuliko matibab
Sio kweli, wenzetu wanajali sana vya kwao na mara nyingi misaada wanayoitoa 80% hurudi kwao, pia wanatufahamu vizuri waafrika wangetuambia tutafute hospital na Doctors wazuri wao watagharimia, huchelewi kusikia costs ni billions of money tena at very low quality, so ni bora hizo hela wakazile wenyewe. Just imagine kama rambirambi tu zinaliwa itakuwa fedha za misaada?
 
Sion tatizo hata kama ingekua serikali, jamani kutib watu sio jambo baya
 
Nyalandu and US connection.

Naangalia filamu ya French Connection hivi sasa ya mzee Gene Hackman akihangaika.

Mungu awajaalie watoto wetu afya njema wapate matibabu bora kabisa na wapone haraka warudi Tanzania kuendelea na masomo yao.
 
Kuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema zake na Upendo usio kifani. Ameruhusu lililotokea litokee.

Inafurahisha pia kuona jitihada za kunusuru maisha ya majeruhi watatu (sijui ni jitihada za nani lakini hilo si muhimu); lakini nina maswali mengi kichwani na si hitaji majibu kwa yote bali kwa kililo/yaliyo makuu. Nayo ni:

1. Kwa nini wapelekwe USA na kwingineko ambako kunaweza kuwa cheaper?

2. Hivi ni kweli kuwa majeruhi hawa wasingeweza kutibiwa hapa hapa kwetu au Kenya kwa majirani zetu?

3. Je, yawezekana ni kweli kuwa hadi leo Tanzania na nchi majirani hazina uwezo kabisa wa ku deal na serious cases kama hizi (yaani kama hizi serious xases)?

4. Je, yawezekana huu ni uwekezaji mkubwa kwenye siasa za 2020?

Mpango huu ubaweza kuwa na maswali mengi bila majibu ya kutosha lakini jitihada hizi ni za kupongezwa sana; yote katika yote, hawa watoto wanahitaji medical attention iliyo makini sana na tuwatakie safari njema na hatimaye siku moja hali zao zitakapokuwa zimeimarika zaidi Mungu awarudishe salama nyumbani.
My good friend, your level of appreciation of things seems to be diminishing.
 
Back
Top Bottom