Tanzania Njema Yaja
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 3,042
- 2,417
Ha haaa haaa wana ccm bana... eti mitusi... kwani kuna asiye jua kutukana mkuu.... ustaarabu tu utawale....Samahani kuuliza si ujinga hizo gharama za wao kutibiwa Hao watoto marekani umesikia zinalipwa Na serikali au Mama yako kiasi kuwa uone ni upotezaji pesa za familia au walipa kodi wa Tanzania? Mwenyezi Mungu nisaidie kuna mitusi Ya nguoni inahemuka kifuani nisaidie nisije mporomoshea mtu yeyote humu jamii forums. Nisadie Mwenyezi Mungu
Kuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema zake na Upendo usio kifani. Ameruhusu lililotokea litokee.
Inafurahisha pia kuona jitihada za kunusuru maisha ya majeruhi watatu (sijui ni jitihada za nani lakini hilo si muhimu); lakini nina maswali mengi kichwani na si hitaji majibu kwa yote bali kwa kililo/yaliyo makuu. Nayo ni:
1. Kwa nini wapelekwe USA na kwingineko ambako kunaweza kuwa cheaper?
2. Hivi ni kweli kuwa majeruhi hawa wasingeweza kutibiwa hapa hapa kwetu au Kenya kwa majirani zetu?
3. Je, yawezekana ni kweli kuwa hadi leo Tanzania na nchi majirani hazina uwezo kabisa wa ku deal na serious cases kama hizi (yaani kama hizi serious xases)?
4. Je, yawezekana huu ni uwekezaji mkubwa kwenye siasa za 2020?
Mpango huu ubaweza kuwa na maswali mengi bila majibu ya kutosha lakini jitihada hizi ni za kupongezwa sana; yote katika yote, hawa watoto wanahitaji medical attention iliyo makini sana na tuwatakie safari njema na hatimaye siku moja hali zao zitakapokuwa zimeimarika zaidi Mungu awarudishe salama nyumbani.
Pole sana kwa maumivu uliyoyapata mpaka kuamua kurusha matusi. Kama ungesoma uzi vizuri ungekuwa na lugha ya kistaarabu zaidi.Samahani kuuliza si ujinga hizo gharama za wao kutibiwa Hao watoto marekani umesikia zinalipwa Na serikali au Mama yako kiasi kuwa uone ni upotezaji pesa za familia au walipa kodi wa Tanzania? Mwenyezi Mungu nisaidie kuna mitusi Ya nguoni inahemuka kifuani nisaidie nisije mporomoshea mtu yeyote humu jamii forums. Nisadie Mwenyezi Mungu
Kama kuna matusi yamekuijia ukayabana kifuani ujue tayari ushatukana katika ulimwengu wa roho.Samahani kuuliza si ujinga hizo gharama za wao kutibiwa Hao watoto marekani umesikia zinalipwa Na serikali au Mama yako kiasi kuwa uone ni upotezaji pesa za familia au walipa kodi wa Tanzania? Mwenyezi Mungu nisaidie kuna mitusi Ya nguoni inahemuka kifuani nisaidie nisije mporomoshea mtu yeyote humu jamii forums. Nisadie Mwenyezi Mungu
Kuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema zake na Upendo usio kifani. Ameruhusu lililotokea litokee.
Inafurahisha pia kuona jitihada za kunusuru maisha ya majeruhi watatu (sijui ni jitihada za nani lakini hilo si muhimu); lakini nina maswali mengi kichwani na si hitaji majibu kwa yote bali kwa kililo/yaliyo makuu. Nayo ni:
1. Kwa nini wapelekwe USA na kwingineko ambako kunaweza kuwa cheaper?
2. Hivi ni kweli kuwa majeruhi hawa wasingeweza kutibiwa hapa hapa kwetu au Kenya kwa majirani zetu?
3. Je, yawezekana ni kweli kuwa hadi leo Tanzania na nchi majirani hazina uwezo kabisa wa ku deal na serious cases kama hizi (yaani kama hizi serious xases)?
4. Je, yawezekana huu ni uwekezaji mkubwa kwenye siasa za 2020?
Mpango huu ubaweza kuwa na maswali mengi bila majibu ya kutosha lakini jitihada hizi ni za kupongezwa sana; yote katika yote, hawa watoto wanahitaji medical attention iliyo makini sana na tuwatakie safari njema na hatimaye siku moja hali zao zitakapokuwa zimeimarika zaidi Mungu awarudishe salama nyumbani.
Nafikiri mleta hoja anahusisha mambo na uchawi kwenye thiatha ya 2020Inasemekana wamepelekwa marekani kwa msaada wa wazungu au wamarekani wenyewe. Ni wazungu waliowahi kufika eneo la tukio watoto walipopata ajali, ndo wametafuta msaada na kuwapeleka watoto marekani. Nadhani unauliza hayo maswali kwa kudhani serikali ndo imegharamia.
Hahahaha kupurukuka katika high level! hahahahaInasemekana wamepelekwa marekani kwa msaada wa wazungu au wamarekani wenyewe. Ni wazungu waliowahi kufika eneo la tukio watoto walipopata ajali, ndo wametafuta msaada na kuwapeleka watoto marekani. Nadhani unauliza hayo maswali kwa kudhani serikali ndo imegharamia.
Wewe unaweza kuwa Hata mchawi samahani sana kwa personal attack but imenibidi nisema haya kwa mara ya kwanza toka nijiunge na JF 2007,kwasababu ya kudadisi na kuto support majeruhi Watoto malaika wale kupelekwa Marekani kwa matibabu zaidi.Kuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema zake na Upendo usio kifani. Ameruhusu lililotokea litokee.
Inafurahisha pia kuona jitihada za kunusuru maisha ya majeruhi watatu (sijui ni jitihada za nani lakini hilo si muhimu); lakini nina maswali mengi kichwani na si hitaji majibu kwa yote bali kwa kililo/yaliyo makuu. Nayo ni:
1. Kwa nini wapelekwe USA na kwingineko ambako kunaweza kuwa cheaper?
2. Hivi ni kweli kuwa majeruhi hawa wasingeweza kutibiwa hapa hapa kwetu au Kenya kwa majirani zetu?
3. Je, yawezekana ni kweli kuwa hadi leo Tanzania na nchi majirani hazina uwezo kabisa wa ku deal na serious cases kama hizi (yaani kama hizi serious xases)?
4. Je, yawezekana huu ni uwekezaji mkubwa kwenye siasa za 2020?
Mpango huu ubaweza kuwa na maswali mengi bila majibu ya kutosha lakini jitihada hizi ni za kupongezwa sana; yote katika yote, hawa watoto wanahitaji medical attention iliyo makini sana na tuwatakie safari njema na hatimaye siku moja hali zao zitakapokuwa zimeimarika zaidi Mungu awarudishe salama nyumbani.
Kwa kweli! Hawa watu kwa matibabu, sikia tu! Ninashuhuda za kutisha juu ya matibabu ya hawa watu yaani wako mbali mbali mno! Ni vitu ambavyo wewe mwenyewe you cannot imagine! Watoto wetu wako kwenye mikono ya kuaminika kwa kweli na watapona kabisa! Believe me on that!Kwa hisani ya watu wa marekani. Ni vyema kwa kuwa watapata matibabu ya kisasa zaidi.
Indeed AMUN RANyalandu ubarikiwe
kuna mambo yanakera aiseee...hv ww mleta mada una akili kweli???Kuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema zake na Upendo usio kifani. Ameruhusu lililotokea litokee.
Inafurahisha pia kuona jitihada za kunusuru maisha ya majeruhi watatu (sijui ni jitihada za nani lakini hilo si muhimu); lakini nina maswali mengi kichwani na si hitaji majibu kwa yote bali kwa kililo/yaliyo makuu. Nayo ni:
1. Kwa nini wapelekwe USA na kwingineko ambako kunaweza kuwa cheaper?
2. Hivi ni kweli kuwa majeruhi hawa wasingeweza kutibiwa hapa hapa kwetu au Kenya kwa majirani zetu?
3. Je, yawezekana ni kweli kuwa hadi leo Tanzania na nchi majirani hazina uwezo kabisa wa ku deal na serious cases kama hizi (yaani kama hizi serious xases)?
4. Je, yawezekana huu ni uwekezaji mkubwa kwenye siasa za 2020?
Mpango huu ubaweza kuwa na maswali mengi bila majibu ya kutosha lakini jitihada hizi ni za kupongezwa sana; yote katika yote, hawa watoto wanahitaji medical attention iliyo makini sana na tuwatakie safari njema na hatimaye siku moja hali zao zitakapokuwa zimeimarika zaidi Mungu awarudishe salama nyumbani.
Mkuu serikali haijatoa hata thumni zaidi tu imekula ile rambirambiKuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema zake na Upendo usio kifani. Ameruhusu lililotokea litokee.
Inafurahisha pia kuona jitihada za kunusuru maisha ya majeruhi watatu (sijui ni jitihada za nani lakini hilo si muhimu); lakini nina maswali mengi kichwani na si hitaji majibu kwa yote bali kwa kililo/yaliyo makuu. Nayo ni:
1. Kwa nini wapelekwe USA na kwingineko ambako kunaweza kuwa cheaper?
2. Hivi ni kweli kuwa majeruhi hawa wasingeweza kutibiwa hapa hapa kwetu au Kenya kwa majirani zetu?
3. Je, yawezekana ni kweli kuwa hadi leo Tanzania na nchi majirani hazina uwezo kabisa wa ku deal na serious cases kama hizi (yaani kama hizi serious xases)?
4. Je, yawezekana huu ni uwekezaji mkubwa kwenye siasa za 2020?
Mpango huu ubaweza kuwa na maswali mengi bila majibu ya kutosha lakini jitihada hizi ni za kupongezwa sana; yote katika yote, hawa watoto wanahitaji medical attention iliyo makini sana na tuwatakie safari njema na hatimaye siku moja hali zao zitakapokuwa zimeimarika zaidi Mungu awarudishe salama nyumbani.
Thus why these people are blessedNi kweli kila kitu Ni wamarekani sisi tumefanikisha upatikanaji wa passport kwa haraka zaidi the rest Ni America people
kwnye zile pcha kuna wazungu mliwaona pale kwnye juhud za uokoaji, sasa wale ndo wamesimamia shoo nzima na shirika
ila katika maelezo nilioyaona wanasema pia watu wanaeza kuchangia, sasa najiuliza, watu wachangie kwa ajili ya nini kama wale wamarekani walisema watasimamia mipango yote na watawatibu bure kabisa muda wote watakapoitaj matibabu wakiwa marekani
Acheni ujinga.Kuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa rehema zake na Upendo usio kifani. Ameruhusu lililotokea litokee.
Inafurahisha pia kuona jitihada za kunusuru maisha ya majeruhi watatu (sijui ni jitihada za nani lakini hilo si muhimu); lakini nina maswali mengi kichwani na si hitaji majibu kwa yote bali kwa kililo/yaliyo makuu. Nayo ni:
1. Kwa nini wapelekwe USA na kwingineko ambako kunaweza kuwa cheaper?
2. Hivi ni kweli kuwa majeruhi hawa wasingeweza kutibiwa hapa hapa kwetu au Kenya kwa majirani zetu?
3. Je, yawezekana ni kweli kuwa hadi leo Tanzania na nchi majirani hazina uwezo kabisa wa ku deal na serious cases kama hizi (yaani kama hizi serious xases)?
4. Je, yawezekana huu ni uwekezaji mkubwa kwenye siasa za 2020?
Mpango huu ubaweza kuwa na maswali mengi bila majibu ya kutosha lakini jitihada hizi ni za kupongezwa sana; yote katika yote, hawa watoto wanahitaji medical attention iliyo makini sana na tuwatakie safari njema na hatimaye siku moja hali zao zitakapokuwa zimeimarika zaidi Mungu awarudishe salama nyumbani.