bruno twemanye
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 801
- 387
Harudiii,,, anitofautishie stage 6 na 7Ungekijua usingeandika hizo blanda do you know the mechanism of death and dieing
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Harudiii,,, anitofautishie stage 6 na 7Ungekijua usingeandika hizo blanda do you know the mechanism of death and dieing
Huu ni uzembe kweli tena wa hali ya juu lakin yote hii inaendeshwa na kutokuwa serious katika kaziNdio unakufa kifo orijino sasa..[emoji17] [emoji17]
mkuu itategemea amekufaje, kwa radi, kuzama maji, kaliwa na simba, kaaguka juu ya mti, ame suffocate, kagongwa, nk. ulikuwa una maana gani kuhusu swali hili? mfano yule mtoto hakuwa amelazwa wodini, kaletwa tu kutoka mtaani, alichotakiwa kufanya daktari ni kuthibisha waliokufa na waliohai basi. Hakukua na haja ya kueleza the dieing process and mechanism.Ungekijua usingeandika hizo blanda do you know the mechanism of death and dieing
Acha kujichanganya ',, smartphone ilisababisha kifo??Huu ni uzembe kweli tena wa hali ya juu lakin yote hii inaendeshwa na kutokuwa serious katika kazi
Ifike muda watu wakiri sio kada za medical tu bali kada zote zinaendeshwa kiblabla sana now days na nahisi ukijua kinachotokea tena ww ndo uwe mhusika itakuumiza sana
Na hii sio nchi yetu tu no hata nchi za wenzetu ipo sana na inachangiwa na tuseme maendeleo ya technologia.
nnachikisema nakijua na kuna kifo kimoja kimoja kiliwahi kutokea sisemi daktar angeweza kuzuia hapana ila dr alivyo m attend mgonjwa mmmh kwanza alikuwa na smartphone mkono mmoja halaf kama anasoma message za group
Mkuu kuna kauli moja nimeisema hapo kwamba SISEMI DR ANGEWEZA KUZUIA ila jinsi alivyo m attend ndo shida mkuuAcha kujichanganya ',, smartphone ilisababisha kifo??
Siku hizi tuna google mzee kaeni chonjo na sheria zipo, iko siku wagonjwa watakataa kutibiwa na mtu asiyekuwa specialist. Ile habari ya marehemu hana haki itakuja kukomaAcha mbwembwe,, ingekuwa rahis hivyo,, wote icu wangeenda motury
kosa kubwa sana la wagonjwa wa siku hizi unagoogle bas nenda kagoogle kila kitu sasa i hate this issueSiku hizi tuna google mzee kaeni chonjo na sheria zipo, iko siku wagonjwa watakataa kutibiwa na mtu asiyekuwa specialist.
haki zao sio kugoogle wanataki uwafanyie kama wanavyotaka wao hii haikubalikihutaki watu wazifahamu haki zao?
Ok kama ni hivyo tufanyeje sasa mkuu ili tupunguze uwezekano wa ku diagnose death na kupeleka wazima mortuary? tupewe kipimo gani na waajiri watu ili kupunguza makosa ya kiufundi ya aina hii?unaweza ukapima vyote hvyo ulivyotaja vikawa negative lakin mgonjwa akawa hajafariki bado,unalifahamu hilo?
easy!! ngoja ni google au nisome Snell yangumkuu huyo kijana kwa maelezo alioyatoa hafaham definition ya death...
Death is the irreversible cessation of ALL vital functions especially as indicated by permanent stoppage of the heart, respiration, and brain activity. Any question?mkuu huyo kijana kwa maelezo alioyatoa hafaham definition ya death...
ukifika clinical naamin mambo yatakua poa..kwa sasa endelea kupiga bookeasy!! ngoja ni google au nisome Snell yangu
Death is the irreversible cessation of ALL vital functions especially as indicated by permanent stoppage of the heart, respiration, and brain activity. Any question?
Sio mkuu mimi naonyesha tu namna nguvu ya google inavyoweza kufanya kazi. Jamii yetu ya sasa sio kama ile ya wazee wetu ambao hata ukimywesha usol ukasema ni dawa ya kilohozi hawezi kuhoji. Tujiandae kwa kujiongeza kitaaluma na kufuata viapo vya taaluma zetu tulivyoachiwa na akina Socret na Hypocritesamahan mkuu ww ni doctor?
Tubadilike hata kama nini bana! mimi sio mwanafunzi wala mtu wa afya, na google tu bro, but prevention is better than cure. Haingii akilini mtu wa kichwa akapusuliwa mguu na wa mguu akapasuliwa kichwa eti kwa sababu wanafanana majina yao, lakini ndugu zao wakanyamaza kinya bila kudai fidiaukifika clinical naamin mambo yatakua poa..kwa sasa endelea kupiga book
Mkuu ngoja tuokoe jahazi kwa kutoa darasa kwa wana jf ili wote wafahamu namna ya kumfahamu aliyekufamkuu huyo kijana kwa maelezo alioyatoa hafaham definition ya death...
ukifika clinical naamin mambo yatakua poa..kwa sasa endelea kupiga book