aaah kaka hufahamu vipimo anavyostahili mgonjwa kuthibitisha kuwa amekufa? uganga gani huu jamani. Ngoja nikukumbushe basi hapa. Pima/chukua mapigo ya moyo (yapo hayapo) kwa kutumia hicho mnachotundika shingoni mwenu kwa kutafuta ujiko, pima pulse rate (zipo hazipo?) kwa kutumia vidole vyako juu ya mshipa mkubwa wa damu wa artery, chest movements (anahema hahemi?) kwa kutumia macho yako, mboni za macho (pupils) reaction to light kwa kutumia mwanga tu wa tochi., Je mboni ziko widely dilated or constricted, je zinabehave vipi ukizimulika na tochi. Usifanye haraka kusema kafa kama hazipo, rudia tena baada ya nusu saa hivi bado hazipo?. Kaka upo, hivyo sio vipimo? be serious with your work. Lupango tu nyie tumechoka kuonewa na vihiyo!!! kama umelewa viroba huwezi kusikia wala kuona kitu hata kama ukichukua hizi vital signs za mgonjwa, utakimbilia kafa, na vile umeambiwa ni panya road!!